LUIZA: NIKIONDOKA TWANGA NITASHUKA HESHIMA
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqomhdFJMZtFRy2EcMXKCfLa-JO8shJxcz9YBUUyQmGnLqGZhpz0TjZqKaTKCYOUG-d7r1aCIjIKjvmHNEqhtDUe/luiz.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema KIONGOZI wa Bendi ya The African Stars, ‘Twanga wa Pepeta’, Luiza Mbutu, amesema akiihama bendi yake hiyo atajishushia heshima yake aliyoijenga siku nyingi hivyo hathubutu. Kiongozi wa Bendi ya The African Stars, ‘Twanga wa Pepeta’, Luiza Mbutu. Luiza alitoa kauli hiyo alipoulizwa na paparazi wetu kama ana mpango wowote wa kubadilisha ‘upepo’. “Nimetengeneza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga
Luiza Nyoni Mbutu
Stori: MAYASA MARIWATA
LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.
AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0ct1ctneeWxlS0QtejScrqkXa1sENkEU5e-q6kbuVKkVvxFwhhwZl*mBFvm6jh2kiZWoucUeZTCnuuhpAnldQ3/luiza.jpg?width=650)
LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZpF4kec7xVd2L7H1hp1-exOCtZojfXG*XZvwka5H0wHwTNZndhCm2jl6ehgKVj6J9QSGei2vWR-X1GCyT3Qudy/TWANGAPEPETA5.jpg?width=650)
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM3qU5mJGNmtIs3Tg-y1-8ORW*Cp5Ga4-77xhKWPrMzCzVeTfe5Xt0zU7Tdn6ebjEVC9SO7PMbfHZfmbZ6WpptM/lUIZA.jpg?width=650)
MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA
10 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima29 May
Twanga kunogesha Miss Mzizima
BENDI ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta ‘Kisima cha Burudani’ inatarajiwa kusindikiza shindano la kumsaka Miss Mzizima 2014 linalotarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Quality Centre jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Twanga kukonga mashabiki Bills leo
BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ imejinasibu kutamba na kukonga nyoyo za mashabiki wao katika onesho lao la Usiku wa Mwafrika ‘African Nite’ linalorindima kila Jumatano...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s72-c/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Twanga kuwatambulisha Choki, Nyamwela Da’ West
![](http://4.bp.blogspot.com/-qOD1tgPCn_0/VXmM82xS--I/AAAAAAAHerg/IbkjP2p5peE/s640/020da65dfdb1c75e670bc77d11f9df9b.jpg)
Onyesho hilo litafanyika usiku katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.Mratibu wa onyesho hilo Joseph Kapinga wa Keen Arts na Bob Entertainment amesema kuwa onyesho hilo pia litakuwa ni la vunja jungu kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kapinga alisema pia Choki atatumia onyesho hilo kutambulisha nyimbo...