Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twanga kunogesha Miss Mzizima

BENDI ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta ‘Kisima cha Burudani’ inatarajiwa kusindikiza shindano la kumsaka Miss Mzizima 2014 linalotarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Quality Centre jijini Dar es Salaam,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bob Junior kunogesha Miss Manyara

WAREMBO 14 kutoka vitongoji mbalimbali vya Mkoa wa Manyara, wameingia kambini jana kujiwinda na kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Manyara kitakachofanyika Ukumbi wa CCM wilayani Babati na kupambwa na mkali wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga kupamba utambulisho Miss Tabata Pasaka

BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ inatarajiwa kusindikiza uzinduzi wa Redd’s Miss Tabata utakaofanyika Ukumbi wa Da’ West Park, Tabata jijini Dar es Salaam, Jumapili ya Pasaka. Mratibu wa shindano...

 

11 years ago

Michuzi

Twanga Pepeta kupamba utambulisho Miss Tabata SIKU YA Pasaka

 Bendi ya African Stars “Twanga Pepeta” itasindikiza uzinduzi wa Redds Miss Tabata itakayofanyika Jumapili ya Pasaka katika ukumbi wa Da’ West Park, Tabata. Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga amesema bendi hiyo itatambulisha nyimbo zao mpya kama zawadi yao ya Pasaka kwa wapenzi wao. Pia bendi hiyo ijulikanayo kama Wakali wa Kisigino pia watapiga nyimbo zao zote kali hadi majogoo. Mratibu huyo wa Bob Entertainment na Keen Arts alisema kuwa wapenzi wa urembo watapata fursa ya kuwaona...

 

11 years ago

GPL

TWANGA PEPETA WAKIFANYA VITU VYAO KWENYE FAINALI ZA MISS TABATA 2014

Twanga Pepeta wakilitawala jukwaa la Da' West usiku huu. Madansa wa Twanga wakionyesha umahiri wao stejini.…

 

11 years ago

Daily News

All set for Mzizima beauty pageant


All set for Mzizima beauty pageant
Daily News
ALL roads this evening lead to the Quality Centre BNN Lodge in Dar es Salaam where models will be battling for honours in this year's edition of the Mzizima beauty pageant. Organized by KOWACK Brothers Investment, the Mzizima contest is an annual ...

 

5 years ago

Michuzi

HOW MZIZIMA LIONS CLUB’S SCHOOL WATER PROGRAM HAS HONOURED JPM’S INITIATIVES


Mnazi Mmoja primary pupils seen drinking water from a water dispenser constructed by Lions Club of Dar es Salaam - Mzizima through their school water program. On the right is technician Mr. Bakari and the water program coordinator, Mr Akash Chudasama. ALL PHOTO/DOTTO MWAIBALE.

· The Club adheres to SDG 6 by saving out 40,000 Dar students

· Constructed boreholes in 21 primary and secondary schools in the region

· Schools have turned premises into beautiful gardens to fight...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mzizima Lions Club kuhudumia wagonjwa wa macho zaidi ya 150 mkoani SINGIDA

DSC01108

Mratibu wa Mzizima Lions Club ya jijini Dar-es-salaam, Mustafa Kudrati, akifafanua jambo kwa waandishi wa hababari (hawapo kwenye picha) juu ya kampeni yao ya upimaji,tiba na upasuaji wa macho kwenye kampeni yao ya siku mbili mkoani hapa, inayotarajiwa kunufaisha wakazi zaidi ya 150. Kwa mujibu wa Kudrati,kampeni hiyo inayodhaminiwa na shirika la ndege la Ethiopia na kampuni ya  bima ya AAR, itagharimu zaidi ya shilingi 20 milioni.

DSC01105

Daktari bingwa wa macho mkoani Singida, Dk.Ng’hungu...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

10 years ago

GPL

GWT KUNOGESHA MTOKO WA PASAKA

Kiundi cha kusifu na kuabudu cha Kundi la Glorious Worship Team (GWT), wakiimba moja ya nyimbo zao kwenye lililofanyika jumapili iliyopita katika ukumbi uliopo katika eneo la kituo cha mafuta cha Victoria jijini Dar. ............... wakiendelea kuimba. Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini, Martha Mwaipaja…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani