Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzizima Lions Club kuhudumia wagonjwa wa macho zaidi ya 150 mkoani SINGIDA

DSC01108

Mratibu wa Mzizima Lions Club ya jijini Dar-es-salaam, Mustafa Kudrati, akifafanua jambo kwa waandishi wa hababari (hawapo kwenye picha) juu ya kampeni yao ya upimaji,tiba na upasuaji wa macho kwenye kampeni yao ya siku mbili mkoani hapa, inayotarajiwa kunufaisha wakazi zaidi ya 150. Kwa mujibu wa Kudrati,kampeni hiyo inayodhaminiwa na shirika la ndege la Ethiopia na kampuni ya  bima ya AAR, itagharimu zaidi ya shilingi 20 milioni.

DSC01105

Daktari bingwa wa macho mkoani Singida, Dk.Ng’hungu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza

Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.

Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.

mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...

 

5 years ago

Michuzi

HOW MZIZIMA LIONS CLUB’S SCHOOL WATER PROGRAM HAS HONOURED JPM’S INITIATIVES


Mnazi Mmoja primary pupils seen drinking water from a water dispenser constructed by Lions Club of Dar es Salaam - Mzizima through their school water program. On the right is technician Mr. Bakari and the water program coordinator, Mr Akash Chudasama. ALL PHOTO/DOTTO MWAIBALE.

· The Club adheres to SDG 6 by saving out 40,000 Dar students

· Constructed boreholes in 21 primary and secondary schools in the region

· Schools have turned premises into beautiful gardens to fight...

 

10 years ago

Mwananchi

Wauguzi wa zahanati watumia chemli kuhudumia wagonjwa

Wauguzi wa Zahanati ya Kurugee katika Kijiji cha Bulaga wilayani hapa wanalazimika kutumia chemli wodini wakati wa kuwahudumia wagonjwa kutokana na kukosekana kwa umeme.

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MEMBE AZOA WADHAMINI ZAIDI YA 1900 MKOANI SINGIDA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiusalimia umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Singida, waliofika katika Ofisi ya CCM ya Mkoa huo Juni 18.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,900. Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Segamba. Picha zote na John BadiWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida

DSC01165

Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.

DSC01178

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone,akizungumza kwenye uzinduzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuiwa na wafanyabiashara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella

DSC01456

Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella  wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana  Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.

Hayo yamesemwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini hospitali za Uhispania zimetangaza kuhudumia wagonjwa mahututi pekee?

Hospitali zimewataka wasio na dalili kali kurejea nyumbani ili ziweze kuwahudumia vikongwe

 

5 years ago

CCM Blog

DIAMONDIAKABIDHI KWA SERIKALI HOTELI YAKE ITUMIKE KUHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA

Staa wa muziki nchini Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz  ametoa ruhusa kwa serikali kuitumia hoteli yake mpya aliyoinunua kama hospitali ya kuhudumia wagonjwa wa corona au kama karantini.
Diamond amesema hayo leo ikiwa ni siku mbili baada kutangaza kuwalipia nyumba watu 500 ili kuondokana na adha ya kodi katika kipindi hiki cha maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.
“Misukumo ya kusaidia watu, imetokana na malezi niliyolelewa, maisha niliyotokea na historia yangu ya nyuma. Nikikumbuka...

 

9 years ago

StarTV

Zaidi watu 1,000 warejea kwenye tiba mkoani Singida Kupunguza Makali Ya Vvu

ZAIDI ya watu elfu moja wanaoishi na Virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wamerejea kwenye tiba baada ya kuacha kabisa kuhudhuria Kliniki maalum za kuwahudumia miaka mitatu iliyopita kutokana na sababu mbalimbali.

Sababu za kuacha dawa za kufubaza Virus zinatajwa kuwa ni Kikombe cha Babu wa Loliondo, unyanyapaa na wengine kudhani kuwa wamepona hivyo kuendelea kudhofika hadi walipofikiwa na mpango wa huduma majumbani unaoendesha na Shirika la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani