Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.
Hayo yamesemwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Mil 500 kutumika zoezi la Chanjo ya Surua na Rubella Mkoa wa Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida, unatarajia kutumia zaidi ya shilingi 500 milioni kwa ajili ya kugharamia zoezi la kampenin ya taifa ya chanjo mpya ya surua na rubella, kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.
Zoezi hilo la nchi nzima,linatarajiwa kuanza mwezi huu wa septemba kuanzia tarehe 24 hadi 30.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, ametoa wito kwa wananchi kutekeleza wajibu...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Watoto wapelekwe kupatiwa chanjo
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella
HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
TUWAPELEKE WATOTO WETU KATIKA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA OKTOBA 18-24
![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa dalili za magonjwa haya mawili zinafanana, hivyo ni vigumu kutofautisha. Wataalamu hao wanasema dalili kuu ni homa na vipele vidogovidogo.
Chanjo ya surua-rubella hutoa kinga kamili dhidi ya magonjwa haya. Dozi ya kwanza hutolewa kwa mtoto anapofikia umri wa miezi 9 na dozi ya pili akiwa na mwaka mmoja na nusu (miezi 18)....
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto
11 years ago
Mwananchi31 May
Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Singida yatoa chanjo ya Vitamin “A” kwa watoto 39,166
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Mtinko wakiwa kwenye na mabango yenye ujumbe wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika kiwilaya kata ya Ughandi, Singida vijijini.
Vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitumbuiza kwenye sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.
Kikundi cha kwaya kilichokuwa kikitoa burudani ya nyimbo mbali mbali zilizokuwa na ujumbe unaoashiria kupiga vita mimba na ndoa za utotoni.
Wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Wizara kutoa chanjo ya Surua, Rubella
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii ikishirikiana na wadau wa maendeleo imeandaa kampeni shirikishi ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watoto wenye kuanzia miezi tisa...