Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.
Hayo yamesemwa...
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S
GSK leo Julai 24-2014 imetangaza imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya Ulaya ya Madawa Agency (EMA).
Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa viwandani vya nchi za Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje ya EU....
10 years ago
Habarileo20 Sep
Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5
KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Morogoro yapunguza maambukizi ya Malaria kwa asilimia nane
Nyumba ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni ambayo imefunguliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Juma Khatib Chum ili watumishi hao waweze kuishi karibu na Kituo hicho.
Na Andrew Tangazo Chimesela – Morogoro
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa asilimia 8 ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo mwaka 2014.
Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dkt. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu mganga wa kituo cha Afya cha...
10 years ago
Habarileo08 Feb
Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100
SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m0NCZScvqKw/Xomq6HdjZSI/AAAAAAALmEM/UqhpIFEIysMsjnuNt1rHGd-CfiFEztwbwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200402_120310_6.jpg)
IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-m0NCZScvqKw/Xomq6HdjZSI/AAAAAAALmEM/UqhpIFEIysMsjnuNt1rHGd-CfiFEztwbwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_120310_6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pm66ddBSFtQ/XomHkSdlljI/AAAAAAAAgSg/y9R-6WgSNNIq_rWdrFzBThhkieN717ZyQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_112947_8.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...