Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto
Chanjo dhidi ya Malaria huenda ikaokoa maisha ya mamilioni ya Watoto dhidi ya Malaria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog20 Oct
Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.
Hayo yamesemwa...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S
GSK leo Julai 24-2014 imetangaza imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya Ulaya ya Madawa Agency (EMA).
Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa viwandani vya nchi za Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje ya EU....
11 years ago
Mwananchi31 May
Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
11 years ago
BBCSwahili17 Sep
Watoto wafa kwa chanjo Syria
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI


10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Chanjo ya Malaria yatia matumaini
10 years ago
BBCSwahili08 May
Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya
10 years ago
Michuzi.jpg)
uzinduzi wa siku ya chanjo mbalimbali kwa watoto wilayani uvinza, kigoma