Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wafa kwa chanjo Syria

Taaarifa kutoka syria zinasema zaidi ya watoto kumi na mbili wamekufa na wengine kuugua baada ya kupewa chonjo ya surua.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto

Chanjo dhidi ya Malaria huenda ikaokoa maisha ya mamilioni ya Watoto dhidi ya Malaria

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya wilaya ya Singida yatoa chanjo ya Vitamin “A” kwa watoto 39,166

SAM_0130

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Mtinko wakiwa kwenye na mabango yenye ujumbe wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika kiwilaya kata ya Ughandi, Singida vijijini.

SAM_0132

SAM_0134

Vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitumbuiza kwenye sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.

SAM_0135

Kikundi cha kwaya kilichokuwa kikitoa burudani ya nyimbo mbali mbali zilizokuwa na ujumbe unaoashiria kupiga vita mimba na ndoa za utotoni.

SAM_0136

Wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari...

 

10 years ago

Michuzi

uzinduzi wa siku ya chanjo mbalimbali kwa watoto wilayani uvinza, kigoma

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma  MKUU wa wilaya Uvinza Hadija Nyembo ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi kupeleka watoto wao kupatiwa chanjo ya kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuachana na imani potofu kwamba chanjo zimeletwa kwa madhumuni tofauti ikiwemo kudhibiti suala la wanawake wasizae watoto wengi.  Akizundua siku ya chanjo kitaifa kwa wilaya ya Uvinza Mkuu wa wilaya hiyo,Hadija Nyembo amesema kuwa jamii inao wajibu mkubwa wa kuhakikisha inawapeleka watoto wao kupata...

 

5 years ago

Michuzi

LICHA YA JANGA LA CORONA, HUDUMA ZA CHANJO NA UFUATILIAJI WA MAGONJWA YANAYOZUILIKA KWA CHANJO ZAENDELEA KWA UANGALIFU MKUBWA TANGA

Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo katika kituo cha Chanjo Zabanati ya Bushiri, Pangani Mkoani Tanga.


Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto kutasababisha vifo vinavyoweza kuepukika

Mamilioni ya watoto wanaweza kupoteza maisha kutokana na maradhi yanayoweza kuzulika kwa sababu ya kukatizwa kwa programu za chanjo kutokana na virusi vya corona, wataalam wametahadharisha.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, Rais wa Mali Mhe Ibrahim Boubacar Keïta, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Erna Solbergna Mwenyekiti Mwenza wa Bill&Melinda GatesFoundation, Bw. Bill Gates, wakiwa jijini Berlin, Ujerumani, kabla ya kuanza kwa mkubwa wa kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani