uzinduzi wa siku ya chanjo mbalimbali kwa watoto wilayani uvinza, kigoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pNP3ZHNMaZM/VTtVCYdZeWI/AAAAAAAHTFA/rV5ACbF52QA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma MKUU wa wilaya Uvinza Hadija Nyembo ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi kupeleka watoto wao kupatiwa chanjo ya kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuachana na imani potofu kwamba chanjo zimeletwa kwa madhumuni tofauti ikiwemo kudhibiti suala la wanawake wasizae watoto wengi. Akizundua siku ya chanjo kitaifa kwa wilaya ya Uvinza Mkuu wa wilaya hiyo,Hadija Nyembo amesema kuwa jamii inao wajibu mkubwa wa kuhakikisha inawapeleka watoto wao kupata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YAENDELEA WILAYANI UVINZA-KIGOMA
10 years ago
MichuziUZINDUZI WA CHANJO YA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 WILAYA YA MUFINDI MKOA WA IRINGA WAFANYIKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-McO1S_5cpgw/Uwvv5M_DPqI/AAAAAAAFPVI/moQ0LK-HLx4/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HCzY7_P8Ng/Uwvv5fCYQjI/AAAAAAAFPVM/RMRR6eb9yTQ/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--KIC2sVOEYE/Uwvv5-rL3yI/AAAAAAAFPVY/-Djtn1iETgM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYSZOLG1dVo/Uwvv52SIYTI/AAAAAAAFPVo/1rDgW2VFyYw/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GgDCa5DLrPo/VW2c6TasLjI/AAAAAAAHbN8/iKeFRcmXsrQ/s72-c/001.jpg)
KAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YATUA WILAYANI UVINZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GgDCa5DLrPo/VW2c6TasLjI/AAAAAAAHbN8/iKeFRcmXsrQ/s640/001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s72-c/IMG-20150108-WA032.jpg)
Abiria wa Treni ya Reli ya Kati wakwama katika Stesheni ya Uvinza,Kigoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s1600/IMG-20150108-WA032.jpg)
Ripota wa Globu ya Jamii ambaye ni mmoja wa abiria hao,amezungumza na stesheni masta wa wa Uvinza na kumueleza kuwa ameshatuma wataalam kwenda eneo la tukio...