Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanjo ya Malaria yatia matumaini

Chanjo ya kwanza dhidi ya Malaria duniani iko mbioni kuidhinishwa kwa ajili ya matumizi barani Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Chanjo yaleta matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, na kusema dawa zinaonesha kuwa salama na itasaidia mfumo wa kinga ya mwili kuvitambua virusi hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yaonesha matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya

Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford wanasema kuwa jaribio la Chanjo dhidi ya ugonjwa wa Malaria imeonesha asilimia kubwa ya mafanikio

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto

Chanjo dhidi ya Malaria huenda ikaokoa maisha ya mamilioni ya Watoto dhidi ya Malaria

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini

Majaribio ya chanjo mpya ya ugonjwa wa homa ya dengue yameonyesha mafanikio kwa asilimia 56, miezi kadhaa baada ya Taifa kukumbwa na janga la ugonjwa huo ulioathiri watu zaidi ya 400 na kusababisha vifo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria

>Kama ulidhani simba ni hatari,  nyoka na wanyama wengine wakali wa mwituni basi umekosea kwani mdudu mdogo ambaye unaweza kumuua  kwa vidole vyako aweza akawa hatari wanyama mwitu waogopwao kama vile simba, chui, nyati na nyoka. Mdudu huyo si mwingine bali ni mbu.

 

11 years ago

Dewji Blog

GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S

GSK-logo

GSK leo  Julai 24-2014 imetangaza   imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA).

Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa  viwandani vya nchi za  Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje  ya EU....

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaria: Matumaini ya kupatikana kinga

Kundi la watoto nchini Tanzania wenye kinga asilia ya malaria wanawasaidia wanasayansi kutengeneza kinga mpya ya ugonjwa huo .

 

11 years ago

Mwananchi

Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani