Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini

Majaribio ya chanjo mpya ya ugonjwa wa homa ya dengue yameonyesha mafanikio kwa asilimia 56, miezi kadhaa baada ya Taifa kukumbwa na janga la ugonjwa huo ulioathiri watu zaidi ya 400 na kusababisha vifo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watanzania wengi waonyesha matumaini uteuzi wa Mguful.

Baadhi ya Watanzania wameonyesha imani na matarajio yao makubwa ya maendeleo kutoka kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muaungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli.

Dk Magufuli alitangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25.

Katika hekaheka za kutafuta rikizi mkono uende kinywani hali ya Jiji la Dar es salaam katika maeneo ya kufanyia biashara inaonekana kuwa tulivu na maisha yanaendelea.

Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utafiti Polisi Jamii waonyesha mafanikio

JESHI la Polisi nchini limetakiwa kutumia matokeo ya utafiti wa tathmini ya Polisi Jamii uliofadhiliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kuboresha mkakati wa Polisi jamii ili kuimarisha ulinzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufugaji wa mbwa ulianza Asia, utafiti waonyesha

Utafiti mpya unaonyesha kuwa mbwa walianza kufugwa kwa mara ya kwanza katikati mwa bara Asia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Dengue kutumika Mexico

Mamlaka za afya nchini Mexico zimeruhusu matumizi ya chanjo ya kwanza duniani dhidi ya homa ya dengue inayosababishwa na mbu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Malaria yatia matumaini

Chanjo ya kwanza dhidi ya Malaria duniani iko mbioni kuidhinishwa kwa ajili ya matumizi barani Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yaonesha matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Chanjo yaleta matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, na kusema dawa zinaonesha kuwa salama na itasaidia mfumo wa kinga ya mwili kuvitambua virusi hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza

UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es  Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani