Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini
Majaribio ya chanjo mpya ya ugonjwa wa homa ya dengue yameonyesha mafanikio kwa asilimia 56, miezi kadhaa baada ya Taifa kukumbwa na janga la ugonjwa huo ulioathiri watu zaidi ya 400 na kusababisha vifo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV31 Oct
Watanzania wengi waonyesha matumaini uteuzi wa Mguful.
Baadhi ya Watanzania wameonyesha imani na matarajio yao makubwa ya maendeleo kutoka kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muaungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli.
Dk Magufuli alitangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25.
Katika hekaheka za kutafuta rikizi mkono uende kinywani hali ya Jiji la Dar es salaam katika maeneo ya kufanyia biashara inaonekana kuwa tulivu na maisha yanaendelea.
Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Utafiti Polisi Jamii waonyesha mafanikio
JESHI la Polisi nchini limetakiwa kutumia matokeo ya utafiti wa tathmini ya Polisi Jamii uliofadhiliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kuboresha mkakati wa Polisi jamii ili kuimarisha ulinzi...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Ufugaji wa mbwa ulianza Asia, utafiti waonyesha
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Chanjo ya Dengue kutumika Mexico
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Chanjo ya Malaria yatia matumaini
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Chanjo ya Ebola yaonesha matumaini
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Ebola:Chanjo yaleta matumaini
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza
UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...