Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza
UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue
11 years ago
Mwananchi15 May
Serikali inafanya mzaha na ugonjwa wa dengue
11 years ago
Mwananchi08 May
Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue
11 years ago
KwanzaJamii14 May
Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Wizara ya Afya yaonya kuhusu ugonjwa wa dengue nchini
11 years ago
Dewji Blog13 May
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...
11 years ago
Habarileo23 May
Dengue yaingia Mwanza, mmoja alazwa Sekou Toure
MGONJWA mmoja mkoani hapa, amethibitika kuugua ugonjwa wa dengue na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure. Hayo yalibainishwa leo na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga katika mkutano wake na waandishi wa habari, uliofanyika jijini hapa kufuatia kuwepo kwa taarifa za mgonjwa huyo.