Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali inafanya mzaha na ugonjwa wa dengue

Nchi nzima imekumbwa na taharuki kutokana na watu zaidi ya 400 kuugua homa ya dengue na tayari watu watatu wamepoteza maisha, akiwamo daktari bingwa wa magonjwa ya akili aliyekuwa akifanya kazi Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue

Serikali jijini Dar es Salaam imetoa tahadhari kuhusu kuwepo kwa dalili za kufumuka kwa ugonjwa wa Dengue katika kipindi hiki cha mvua, huku ikiwataka wananchi wanaoishi mabondeni kuhama maeneo yao ili kunusuru maisha yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue

Ugonjwa wa homa ya dengue ambao umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na kuathiri wilaya zake tatu za Temeke, Ilala na Kinondoni umezua hofu na taharuki kubwa kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza

UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es  Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu

Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria. Mpaka sasa ugonjwa huo hauna tiba maalumu wala chanjo na njia pekee ya kukabiliana nao ni kutambua dalili zake kama vile homa, kupungukiwa maji au damu, kuumwa kichwa, maumivu ya viungo na uchovu. Mgonjwa anaweza kupoteza maisha endapo atachelewa kupatiwa matibabu. Mkuu wa Idara ya Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alithibitisha kuwapo kwa ugonjwa huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini

Majaribio ya chanjo mpya ya ugonjwa wa homa ya dengue yameonyesha mafanikio kwa asilimia 56, miezi kadhaa baada ya Taifa kukumbwa na janga la ugonjwa huo ulioathiri watu zaidi ya 400 na kusababisha vifo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha

Usiku wa kuamkia Julai 8, mwaka huu, bomu la kutupa kwa mkono lililipuka katika mgahawa wa Vama Restaurant uliopo maeneo ya Gymkhana na kujeruhi watu wanane, miongoni mwao wakipoteza baadhi ya viungo vya mwili vilivyolazimika kukatwa kutokana majeraha mabaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yaonya kuhusu ugonjwa wa dengue nchini

>Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria.

 

11 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue

mg1

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.

Utangulizi

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani