Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu
Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria. Mpaka sasa ugonjwa huo hauna tiba maalumu wala chanjo na njia pekee ya kukabiliana nao ni kutambua dalili zake kama vile homa, kupungukiwa maji au damu, kuumwa kichwa, maumivu ya viungo na uchovu. Mgonjwa anaweza kupoteza maisha endapo atachelewa kupatiwa matibabu. Mkuu wa Idara ya Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alithibitisha kuwapo kwa ugonjwa huo...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Oct
Ugonjwa wa retina ya macho unaosababishwa na kisukari
11 years ago
BBCSwahili25 Sep
Mbu kupambana na homa ya Dengue
10 years ago
Habarileo11 Mar
Malecela ataja chanzo mbu anayeleta dengue
ASILIMIA kubwa ya mazalio ya mbu Aedes aliyeambukiza virusi vya Dengue katika jiji la Dar es Salaam mwaka jana, huzaliwa kwenye vyombo vya plastiki na matairi ya magari, utafiti umebaini.
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza
UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...
11 years ago
Mwananchi08 May
Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue
11 years ago
Mwananchi15 May
Serikali inafanya mzaha na ugonjwa wa dengue
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini