Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa retina ya macho unaosababishwa na kisukari

Jana Tanzania iliungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Afya ya Macho duniani, safari hii ikiwa na kauli mbiu isemayo Upofu wa Macho Utokanao na Kisukari Unazuilikia, Nenda Kapime.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu

Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria. Mpaka sasa ugonjwa huo hauna tiba maalumu wala chanjo na njia pekee ya kukabiliana nao ni kutambua dalili zake kama vile homa, kupungukiwa maji au damu, kuumwa kichwa, maumivu ya viungo na uchovu. Mgonjwa anaweza kupoteza maisha endapo atachelewa kupatiwa matibabu. Mkuu wa Idara ya Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alithibitisha kuwapo kwa ugonjwa huo...

 

10 years ago

GPL

NEFRONI, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO-2

Dalili hizo ni kukosa hamu ya kula, kujihisi uchovu na kwa ujumla kutojihisi vizuri hasa kuumwa kichwa, kichefuchefu, kutapika na kuvimba miguu. Kwa watu wenye kisukari, wanashauriwa kufanya uchunguzi wa figo zao mara moja kwa mwaka ambapo watachunguzwa kama wana dalili zozote zinazoashiria matatizo ya figo. Utapimwa mkojo kwa ajili ya kuchunguza kiwango cha protini iitwayo Albumin au Microalbuminuria. ...Soma...

 

10 years ago

GPL

NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO

Madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni mengi  na mojawapo ni ugonjwa wa figo unaotokana na mhusika kuwa na tatizo hilo. Leo tuangazie tatizo la figo (kidney) ambayo ina mamia kwa maelfu ya vijiumbo vidogovidogo viitwavyo nefroni (nephrons). Kazi ya hizi nefroni ni kuchuja damu na kutoa uchafu mwilini kwa njia ya mkojo kupitia mirija ya ureter inayotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu. Kwa watu wenye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito — 2

KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasilikiza washkaji wawili. Mshikaji 1: Eti tunaweza tukaufananyisha ugonjwa wa kiharusi (stroke) na radi? Mshikaji 2: Ndio; hasa kwa kuwa hali zote...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito

KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Ili uelewe maana ya stroke, mimi naona fikiria ile siku Dawasco walipokukatia maji. Ilikuwa kama janga fulani...

 

10 years ago

Mtanzania

Ugonjwa wa kisukari waahirisha kesi

Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam

KESI ya kumtesa mfanyakazi wa ndani inayomkabili Wakili wa kujitegemea, Yasinta Rwechungura (44), inaendelea leo baada ya kuahirishwa jana kutokana na Wakili wa Utetezi kusumbuliwa na kisukari. Akitoa sababu ya kuahirishwa kesi mahakamani hapo, Wakili wa utetezi, Benitho Mandele, alisema anasumbuliwa na kisukari hivyo asingeweza kusikiliza kesi hiyo. “Mheshimiwa mimi nipo tayari kumwakilisha mtuhumiwa ila ugonjwa huu unatokea wakati wowote na kwa sasa...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi

>Mpangilio mbovu wa lishe, kutokufanya mazoezi na wananchi kushindwa kujitokeza kupima afya mara kwa mara ni miongoni mwa sababu zinazochangia kuongezeka kwa wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima ugonjwa wa Kisukari

PIX 2,,

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Stephen Kebwe.

Na Beatrice Lyimo- Maelezo

Serikali imetoa wito kwa kila mwananchi nchini kuhakikisha kwamba anapima afya yake  mara kwa  mara  kwa kuwa ugonjwa wa kisukari unaweza usionyeshe dalili yoyote mapema ili kuweza kukabiliana  na kupunguza athari za ugonjwa huo

Aidha Serikali imesisitiza kuwa endapo mtu atatambulika  kuwa ana ugonjwa huo, atumie huduma za afya kulingana na ushauri wa atakaopewa na wataalam wa afya.

Hayo...

 

10 years ago

Michuzi

UHUSIANO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.

Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.Asilimia  kubwa  ya  wagonjwa  wa   kisukari  wanakabiliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.
Unajua  ni  kwa  nini  wanaume  wenye  kisukari  wanasumbuliwa  pia  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  ?
JIBU  NI  RAHISI  SANA, NALO  NI  KWA  SABABU  KUNA  UHUSIANO  MKUBWA  SANA  KATI  YA  UGONJWA  WA  KISUKARI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani