Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi
>Mpangilio mbovu wa lishe, kutokufanya mazoezi na wananchi kushindwa kujitokeza kupima afya mara kwa mara ni miongoni mwa sababu zinazochangia kuongezeka kwa wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Rashid: Kisukari bado tishio
![Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Seif-Rashid.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inakusudia kuongeza bajeti ya fedha za kununua dawa za kutibu kisukari kwa kuwa ugonjwa huo umeshakuwa tishio hapa nchini.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika Mkutano wa Pili wa Pan African Diabetic Foot Study Group, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema fedha hizo zitanunua dawa zitakazotolewa bure kwa wagonjwa wa kisukari.
Alisema licha ya dawa za ugonjwa huo kuwa za gharama...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
Habarileo03 May
Tunda linalotibu kisukari lafanyiwa utafiti
KITUO cha Utafiti wa Kilimo Mikocheni, kimeanza kulifanyia utafiti tunda aina ya ‘rose apple’ ambalo limeelezwa lina uwezo wa kutibu dalili za kisukari na lina vitamin B na C.
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Ugonjwa wa kisukari waahirisha kesi
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
KESI ya kumtesa mfanyakazi wa ndani inayomkabili Wakili wa kujitegemea, Yasinta Rwechungura (44), inaendelea leo baada ya kuahirishwa jana kutokana na Wakili wa Utetezi kusumbuliwa na kisukari. Akitoa sababu ya kuahirishwa kesi mahakamani hapo, Wakili wa utetezi, Benitho Mandele, alisema anasumbuliwa na kisukari hivyo asingeweza kusikiliza kesi hiyo. “Mheshimiwa mimi nipo tayari kumwakilisha mtuhumiwa ila ugonjwa huu unatokea wakati wowote na kwa sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHslXIjYgQbN3x4tS6doauw5Q93CGqTB0amnXxrnOtfGktcepFW*2WdfjWNH1U-JHptXUzkUHAAZytmrBGLmNFMJN/figo.jpg?width=650)
NEFRONI, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO-2
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito
KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Ili uelewe maana ya stroke, mimi naona fikiria ile siku Dawasco walipokukatia maji. Ilikuwa kama janga fulani...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Ugonjwa wa Kisukari wakati wa ujauzito — 2
KAMA kawaida tuanze makala yetu na kishtua mada tukiwasilikiza washkaji wawili. Mshikaji 1: Eti tunaweza tukaufananyisha ugonjwa wa kiharusi (stroke) na radi? Mshikaji 2: Ndio; hasa kwa kuwa hali zote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExhCsqCJtQKa0SxNvwJEmmSp0IWnM3-vylc6JaOLlckx-km2pphLIWuyBDqTdsyxFVH9q8AGAUMS1sgszagQME0/fig.jpg?width=650)
NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Ugonjwa wa retina ya macho unaosababishwa na kisukari