Tunda linalotibu kisukari lafanyiwa utafiti
KITUO cha Utafiti wa Kilimo Mikocheni, kimeanza kulifanyia utafiti tunda aina ya ‘rose apple’ ambalo limeelezwa lina uwezo wa kutibu dalili za kisukari na lina vitamin B na C.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Utafiti: Kulala bila nguo kunapunguza uwezekeno wa kupata kisukari
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Je,antibiotics husababisha kisukari?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrzHosnOf4sTWA8Glkrf1ktwl*g5m4JPFWI*WQCddaE4zlqShhinjLBCDvtH8qESb0kwmg*Gb8uWG7PGohyNC3tT/mainsymptomsofdiabetes_1.png?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4
10 years ago
Vijimambo27 Mar
JE, ANTIBIOTICS HUSABABISHA KISUKARI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326132006_antibiotics_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti wamegundua.
Utafiti uliochapishwa na Jarida la utafiti wa damu ulifuatilia dawa zinazopewa mamilioni ya wagonjwa nchini Uingereza.Waanzilishi wa utafiti huo wanasema kuwa matokeo ya utafiti huo hayamaanishi kwamba dawa hizo husababisha kisukari ,na badala yake maambukizi huenda ni ishara za mapema kwamba mtu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OwgxCMsx3-o/VGd-jS9OK7I/AAAAAAAGxi0/ty8NC9YgAmU/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
SIKU YA KISUKARI YAADHIMISHWA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwgxCMsx3-o/VGd-jS9OK7I/AAAAAAAGxi0/ty8NC9YgAmU/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1pJj7nmXMFY/VGd-jfAgwDI/AAAAAAAGxi8/WcuIwHX5tXI/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ARG69iWMsPs/VGd-jitWm8I/AAAAAAAGxi4/YYFqNSRGz_A/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
10 years ago
GPLKINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Ugonjwa wa kisukari waahirisha kesi
Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
KESI ya kumtesa mfanyakazi wa ndani inayomkabili Wakili wa kujitegemea, Yasinta Rwechungura (44), inaendelea leo baada ya kuahirishwa jana kutokana na Wakili wa Utetezi kusumbuliwa na kisukari. Akitoa sababu ya kuahirishwa kesi mahakamani hapo, Wakili wa utetezi, Benitho Mandele, alisema anasumbuliwa na kisukari hivyo asingeweza kusikiliza kesi hiyo. “Mheshimiwa mimi nipo tayari kumwakilisha mtuhumiwa ila ugonjwa huu unatokea wakati wowote na kwa sasa...