SIKU YA KISUKARI YAADHIMISHWA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwgxCMsx3-o/VGd-jS9OK7I/AAAAAAAGxi0/ty8NC9YgAmU/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Wanachama wa Jumiya ya Watu wanaoishi na maradhi ya kisukari Zanzibar na wafanyakazi wa kitengo cha maradhi hayo kutoka Hospitali Kuu ya Mnazimmoja wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya kisukari Duniani yaliyoanzia viwanja vya Maisara na kumalia viwanja vya Malindi Novemba 14.
Wanachama wa Jumuiya hiyo wakionyesha bango lenye ujumbe mahasusi wa kimataifa wa siku ya kisukari Duniani katika maandamano ya kuadhimisha siku hiyo Novemba 14.
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Siku ya watoto wa kurandaranda yaadhimishwa
10 years ago
GPLSIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI
11 years ago
GPLSIKU YA MANDELA KIMATAIFA YAADHIMISHWA KWA WALEMAVU DAR
11 years ago
MichuziSIKU YA SIKOSELI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
GPLSIKU YA MAKOSA MAKUBWA YA JINAI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboSIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
Michuzi13 Nov
SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KISUKARI DUNIANI ITAADHIMISHWA KESHO NOVEMBA 14-2014.
SERIKALI imesema gharama za kutibu mgonjwa wa kisukari kwa mwaka hapa nchini ni sh.408,000 na kuwa watu wengi wamekuwa wakiugua ugonjwa huo bila ya wao kujitambua.
Imeelezwa kuwa utafiti uliofanya mwaka 2012 katika wilaya 50 nchini ulionyesha ya kuwa asilimia 9.1 ya watu huugua ugonjwa huo bila wenyewe kujua.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Naibu Waziri wa Afya Kebwe Stephen wakati akitoa tamko la serikali kuhusu siku ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2n-l72cibh8/VkrbGAsxXxI/AAAAAAAAIMs/z9hoJecmM24/s72-c/Dr%2BBhuvaneshwari%2BShankar.jpg)
“Afya bora inaanza na kifungua kinywa bora†wito kutoka hospitali za Apollo kwenye siku ya kisukari duniani 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-2n-l72cibh8/VkrbGAsxXxI/AAAAAAAAIMs/z9hoJecmM24/s640/Dr%2BBhuvaneshwari%2BShankar.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Novemba 14 kila mwaka tunaadhimisha siku ya kisukari duniani ili kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kisukari, matatizo yanayoletwa na huu ugonjwa na taarifa muhimu kuhusu kisukari.
Siku hii inabeba ujumbe mahususi kwa watu wote ulimwenguni. Kauli mbiu katika siku hii tokea 2014 hadi 2016 ni maisha bora na kisukari(healthy living and diabetes) na mwaka huu kuna mtazamo zaidi katika kuzingatia ...