SIKU YA MAKOSA MAKUBWA YA JINAI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR
Mkurugenzi mtendaji wa chama cha elimu kwa watoto (CHESO) Richard Shilamba, akihutubia katika hafla hiyo. Wajumbe wakifuatilia semina kwa umakini.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIKU YA SIKOSELI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
VijimamboSIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
GPLSIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Jinsia Wanawake na Watoto, Anna Maembe akihojiwa na wanahabri baada ya maadhimisho kumalizika. Baadhi ya sehemu walipokaa akina mama waliohudhuria maadhimisho hayo katika Viwanja vya Mashujaa Mnazi Mmoja.…
11 years ago
GPLSIKU YA MANDELA KIMATAIFA YAADHIMISHWA KWA WALEMAVU DAR
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu, akikusanya manyasi na mwanafunzi mwenye ulemavu wa akili. Watoto wenye ulemavu wa akili wakicheza muziki na…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s72-c/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI YAFANA JIJINI DAR LEO
Na Dotto Mwaibale
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU DUNIANI YAFANYIKA JIJINI DAR
 Blass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani  na Miaka 66 ya Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu. Maandamano hayo yaliyoanzia Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima hadi Makumbusho ya Taifa  Dar es Salaam leo asubuhi  yaliandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).… ...
10 years ago
MichuziNIC YASHIRIKI MATEMBEZI YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, JIJINI DAR
9 years ago
MichuziSiku ya Posta Duniani kuadhimishwa TCRA jijini Dar es Salaam leo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania