MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI YAFANA JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s72-c/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
Na Dotto Mwaibale
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSiku ya Posta Duniani kuadhimishwa TCRA jijini Dar es Salaam leo
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi TCRA jijini Dar es Salaam
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.
Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Siku ya Posta Duniani kuadhimishwa leo katika ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Joseph Ngowi, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maadhimisho ya Siku ya Posta duniani, inayoadhimishwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini, kabla ya kumkaribisha Meneja Masoko wa shirika hilo, David George (kulia) kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu maadhimisho ya siku hiyo, leo jijini Dar.
Meneja Masoko wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), David George, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s72-c/unnamed%2B(84).jpg)
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika leo jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-14CSpDCHKPE/VEvTQL1ZBwI/AAAAAAAGtYU/cuSwBhMRYxg/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua maadhimisho ya Nane ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, Jijini Dar Leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yy-u4HVVerM/Vml87JgeJ6I/AAAAAAACmtM/G163z52bbP8/s640/3.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipunga mkono kupokea maandamano ya wananchi kwenye Viwanja vya Karimjee katika Maadhimisho ya Nane ya Kitaifa ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Dec 10, 2015. (Picha Zote na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s1600/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
UFUNGUZI WA MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI OKTOBA 9-2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s72-c/DSC_2504.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na -WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s1600/DSC_2504.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PgbzcRJrPi0/U9tMBG7ngkI/AAAAAAACmjg/dEBoi_vhGfI/s1600/DSC_2516.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oQ3NJoIBhpo/U9tL_XiZjxI/AAAAAAACmjU/ZJIjQ0H2btg/s1600/FILE121.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yzK0e9vql0A/U9tObE4ERZI/AAAAAAACmoQ/eXs2pbOlqrw/s1600/FILE355.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPa7cccGwpo/U9tOqGIvgCI/AAAAAAACmoo/7q4m6HaB15c/s1600/FILE369.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xi-xEc7InAA/U9tOWAyVaOI/AAAAAAACmoI/zqqJIR2WHl4/s1600/FILE361.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s72-c/DSC_0408.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote. Maadhimisho haya yalifanyika katika Hoteli ya Double Tree, Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s1600/DSC_0408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CB9c1GUQw-o/VDq95LqUyvI/AAAAAAAAEJk/qxbBtvnfIiA/s1600/DSC_0402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Rz1LUcs3g/VDq92TKnICI/AAAAAAAAEJc/jYBkEu6vvpk/s1600/DSC_0394.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10