Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIC YASHIRIKI MATEMBEZI YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, JIJINI DAR

Baadhi ya washiriki wa Matembezi ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani wakiwemo Wafanyakazi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya matembezi yao hayo yaliyoanzia na kumalizikia katika hoteli ya Ledger iliyopo Bahari beach kupiti Kunduchi Beach Jijini Dar es Salaam jana.Washiriki wa Matembezi hayo wakiwa tayari kwa Matembezi.Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Mwanaidi Shemweta (kushoto) akiwa na baadhi ya watoto wa Kituo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake duniani 2020: Kwa picha wanawake walivyosherehekea jijini Dar es salaam

Ni wakati wa kizazi cha usawa katika maendeleo endelevu.

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR

  Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.    Baadhi ya Wanafunzi kutoka shule mbalimbali  wakiongozwa na Brass band yaJeshi la Polisi,wakiwa kwenye uzinduzi wa matembezi ya maadhimisho  ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake na watoto yaliyofanyika katika viwanja vya Oysterbay Polisi,leo Jijin Dar.

 

11 years ago

Michuzi

MSD YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA SIKU YA MALARIA DUNIANI KATIKA HOTELI YA HYATT JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Ofisa Huduma kwa Wateja wa Bohari ya Dawa (MSD), Kanda ya Dar es Salaam, Florida Sianga (wa pili kulia), akiwaelekeza jambo waandishi wa habari waliotembelea banda la MSD katika maonesho ya Siku ya Malaria Duniani yaliyofanyika Kitaifa Hoteli ya Hyatt Dar es Salaam leo.Waliokaa kutoka kushoto ni Balozi wa malaria wa MSD, Lameck Kipiliango na Ofisa Mwandamizi wa Huduma kwa Wateja wa MSD, Idd Abeid. Balozi wa Malaria wa MSD, Lameck Kipiliango (kushoto), akizungumza na wanahabari (hawapo...

 

11 years ago

Michuzi

UWF kuandaa hafla ya family day machi 15 escape one jijini dar,wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani

 Mchoro wa tuzo ya Mwanamakuka kama uonekanavyo pichani  Kushoto ni Meneja wa Mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Umoja wa Wanawake Marafi (Unit of Women Friends).Bi Maryam Shamo akifafanua jambo mbele ya Wanahabari (hawapo pichani) pamoja na Washindi wa tuzo ya Mwanamakuka 2012/2013,kuhusiana na hafla yao wanayoitarajia kuifanya siku ya Wanawake Duniani mnamo Machi,15 mwaka huu,ambayo imepangwa kufanyika ndani ya kiota kipya cha maraha na burudani,Escape One...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TRUMARK YAANDAA WARSHA MAALUMU KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ITAKAYOFANYIKA MACHI, 7, 2015 MLIMANI CITY JIJINI DAR.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu warsha maalumu iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 7, 2015 ukumbi wa Mlimani City. Wengine kutoka kushoto ni maofisa wa Trumark,  Antu Mandoza na Nuru Lyau. Mratibu wa Warsha hiyo Antu Mandoza (kulia), akisisitiza jambo wakati akizungumza na wanahabari. Kushoto ni Mratibu Msaidizi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani

Tunaangazia siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kuanzi jinsi siku hii muhimu iliyobuniwa zaidi ya karne moja ilyopita.

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 KUFANA KTK UKUMBI WA DAR CARNIVAL

Siku ya wanawake duniani mwaka 2015 yafana katika ukumbi wa Dar carnival tazama picha wa matokeo zaidiKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI DAR

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Raymond Mushi wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoani Dar esb Salaam terehe 8.3.2015.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na mamia ya akina mama kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoani Dar es Salaam tarehe 8.3.2015.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani