Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKU YA MANDELA KIMATAIFA YAADHIMISHWA KWA WALEMAVU DAR

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu,  akikusanya manyasi na mwanafunzi  mwenye ulemavu wa akili. Watoto wenye ulemavu wa akili wakicheza muziki na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR

Maandamano  yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi Baadhi ya vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishw  jijini Dar es Salaam. Mashirika mbalimbali  ya mataifa yanayofanya shughuli za vijana ni kamaUNFPA, IYF, UNIC, ILO, RESTLESS DEVELOPMENT, YUNA, AMREF, MARIE STOPES, pamoja na PSI.(Picha zote na Geofrey Adroph)  Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana,...

 

11 years ago

Michuzi

SIKU YA SIKOSELI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Dk. Sarah Maongezi(mwenyesuti ya bluu), akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kliniki mpya ya watu waishio na seli mundu wakati wa maadhimisho ya Siku ya Seli Mundu Duniani, Muhimbili Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Profesa Eligius Lyamuya na Mkurugenzi wa Tiba Muhimbili,  Dk. Hedinga Swai na kutoka kushoto ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya...

 

11 years ago

GPL

SIKU YA MAKOSA MAKUBWA YA JINAI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR

Mkurugenzi mtendaji wa chama cha elimu kwa watoto (CHESO)  Richard Shilamba, akihutubia katika hafla hiyo. Wajumbe wakifuatilia semina kwa umakini.…

 

11 years ago

GPL

UBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA‏

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(Kusho)pamoja na  Afisa wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini Nkhetheleni Mphohoni na Afisa Mawasiliano wa Vodacom,Gloria Mtui wakigawa zawadi za  tisheti na kofia kwa wanafunzi na   wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum ya Sinza jijini Dar es Salam wakati wa  maadhimisho ya siku ya Mandela iliyoandaliwa na Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini na kufanyika leo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela

002

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela  kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.

Na Mwandishi wetu

Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Siku ya watoto wa kurandaranda yaadhimishwa

Zaidi ya mataifa 50 duniani yakiongozwa na Uingereza, siku ya jumamosi wameadhimisha siku ya kimataifa ya watoto wa kurandaranda.

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KISUKARI YAADHIMISHWA ZANZIBAR

Wanachama wa Jumiya ya Watu wanaoishi na maradhi ya kisukari Zanzibar na wafanyakazi wa kitengo cha maradhi hayo kutoka Hospitali Kuu ya Mnazimmoja wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya kisukari Duniani yaliyoanzia viwanja vya Maisara na kumalia viwanja vya Malindi Novemba 14. Wanachama wa Jumuiya hiyo wakionyesha bango lenye ujumbe mahasusi wa kimataifa wa siku ya kisukari Duniani katika maandamano ya kuadhimisha siku hiyo Novemba 14. Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit...

 

10 years ago

GPL

SIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Jinsia Wanawake na Watoto, Anna Maembe  akihojiwa na wanahabri baada ya maadhimisho kumalizika. Baadhi ya sehemu walipokaa akina mama waliohudhuria maadhimisho hayo katika Viwanja vya Mashujaa Mnazi Mmoja.…

 

10 years ago

Michuzi

KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU

 Waziri  Lukuvi  akimkabidhi  mwanafunzi  wa shule ya Msingi Kipera Rahel Mwikonzi cheti  cha ushiriki mzuri wa siku ya  walemavumwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu Prof Edward BagandashwaKamishina  wa ustawi  wa jamii Bw Dunford Makala akitoa salam zakeWalemavu  nchini  wakiwa katika maandamano  leo  wakati wa kilele  cha siku ya  walemavu duniani kwa Tanzania maadhimisho hayo yamefanyika  mkoa  wa Iringa,kushoto ni mkalimani  wa  kujitolea  ambae ni Mtangazaji wa radio  Nuru Fm Bw ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani