Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA‏

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(Kusho)pamoja na  Afisa wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini Nkhetheleni Mphohoni na Afisa Mawasiliano wa Vodacom,Gloria Mtui wakigawa zawadi za  tisheti na kofia kwa wanafunzi na   wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum ya Sinza jijini Dar es Salam wakati wa  maadhimisho ya siku ya Mandela iliyoandaliwa na Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini na kufanyika leo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela

002

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela  kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.

Na Mwandishi wetu

Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(Kusho)pamoja na Afisa wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini Nkhetheleni Mphohoni na Afisa Mawasiliano wa Vodacom,Gloria Mtui wakigawa zawadi za tisheti na kofia kwa wanafunzi na wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum ya Sinza jijini Dar es Salam wakati wa maadhimisho ya siku ya Mandela iliyoandaliwa na Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini na kufanyika leo shuleni hapo. Mwakilishi wa shirika la Umoja wa Maifa la Kuhudumia wakimbizi...

 

10 years ago

GPL

MPANGO WA MAKTABA ZA DIJITALI WAZINDULIWA AFRIKA KUSINI, UMEWEZESHWA NA VODACOM, HUAWEI NA TAASISI YA NELSON MANDELA

Johannesburg, Midrand Idara ya elimu ya serikali ya Afrika Kusini kwa kushirikiana na makampuni ya Vodacom,Huawei na taasisi ya Nelson Mandela Foundation imezindua mpango wa maktaba kwa njia ya mtandao wa kidijitali lengo kubwa likiwa ni kuboresha huduma za elimu nchini humo.
 
Mpango huu utatekelezwa kwa kutumia programu zenye maudhui ya elimu zinazopatikana bure kwenye simu za kampuni ya Huawei zilizounganishwa na vituo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini

Kifo cha Shujaa aliyepigania Uhuru wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kimedaiwa hakitaathiri kwa namna yoyote mwelekeo wa siasa na uchumi wa nchi hiyo kwa siku zijazo.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MAZIKO YA MZEE NELSON MADELA‏


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria alikowasili usiku wa kuamkia leo tayari kuhudhuria mazishi ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Nelson R. Mandela.
Rais Kikwete akisalimiana na Mwambata wa Kijeshi katika Ubalozi wa Tanzania Afrika kusini katika uwanja wa… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini

Wananchi na viongozi wa Afrika Kusini wanashirki maombi ya kitaifa ya kumuenzi na kumkumbuka hayati Nelson Mandela

 

11 years ago

GPL

LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA

Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIA

Rais wa Vikoba Tanzania na Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Devota Likokola akizungumza na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakati wa kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani,Itakayoadhimishwa rasmi kesho Duniani kote.Hafla hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Kampuni hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mariedo, Mary Amri, akizungumza… ...

 

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akifafanua jambo kwa washiriki walioingia robo fainali katika shindano la Dance 100% walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo litakalofanyika Agosti 23 limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani