WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akifafanua jambo kwa washiriki walioingia robo fainali katika shindano la Dance 100% walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo litakalofanyika Agosti 23 limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
WASHIRIKI WA DANCE 100%WAENDELEA KUJIFUA KWA NUSU FAINALI CHINI YA VODACOM


11 years ago
Dewji Blog07 Sep
Washiriki wa Dance 100% waendelea kujifua kwa nusu fainali chini ya Vodacom
Mstafa Yahaya mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la “Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na nusu fainali ya shindano hilo litakalofanyika Septemba 13 mwaka huu kwenye Viwanja vya Don Bosco Oysterbay. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mshiriki wa shindano la Dance 100% Isyaka Ramadhan wa Kundi la”Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es...
11 years ago
GPL
WASHIRIKI WA DANCE 100% WAENDELEA KUJIFUA KWA NUSU FAINALI CHINI YA VODACOM
11 years ago
Michuzi.jpg)
VIJANA WAZIDI KUJIFUA KWA ROBO FAINALI YA DANCE 100% INAYODHAMINIWA NA VODACOM TANZANIA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
WASHIRIKI WA DANCE 100 WAPEWA SOMO NA BASATA
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL
MABINGWA WA DANCE 100%WAUNGANISHWA NA MTANDAO WA VODACOM
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vodacom, EATV wafagiliwa kuibua vipaji Dance 100%
.jpg)
.jpg)
WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi matano...
11 years ago
GPL
‘DANCE 100’ WILAYA YA TEMEKE WADHAMINIWA NA VODACOM
11 years ago
GPL
VODACOM NA EATV WAFAGILIWA KUIBUA VIPAJI DANCE 100%