Vodacom, EATV wafagiliwa kuibua vipaji Dance 100%
.jpg)
Hassan Tofi mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la Best Boys la Kigamboni jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao yanayofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Upanga ikiwa ni sehemu ya kujindaa na fainali ya shindano hilo litakalofanyika hivi karibuni. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi matano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
VODACOM NA EATV WAFAGILIWA KUIBUA VIPAJI DANCE 100%
11 years ago
GPL
MABINGWA WA DANCE 100%WAUNGANISHWA NA MTANDAO WA VODACOM
11 years ago
Michuzi
WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM

11 years ago
GPL
‘DANCE 100’ WILAYA YA TEMEKE WADHAMINIWA NA VODACOM
11 years ago
Michuzi
MAKUNDI MATANO YAINGIA FAINALI YA DANCE 100%CHINI YA VODACOM


11 years ago
Michuzi
VODACOM YASABABISHA VILIVYO ROBO FAINALI YA DANCE 100 CHANG'OMBE


10 years ago
Michuzi
SHINDANO LA DANCE 100% LAZIDI KUPAMBA MOTO CHINI YA VODACOM TANZANI


11 years ago
GPL
FAINALI YA DANCE 100 J'MOSI CHINI YA VODACOM TANZANI
11 years ago
Michuzi
SHINDANO LA VODACOM DANCE 100 LAPAMBA MOTO LASHIKA KASI JIJINI DAR

