WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIA
Rais wa Vikoba Tanzania na Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Devota Likokola akizungumza na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakati wa kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani,Itakayoadhimishwa rasmi kesho Duniani kote.Hafla hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Kampuni hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mariedo, Mary Amri, akizungumza… ...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Kijiji cha Gongoni wilayani Kilosa waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wanawake wapata hati miliki za ardhi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1e3D-PXuHcw/U-s3JP0s24I/AAAAAAAF_Ik/ZDclGQfW0fs/s72-c/001.DANCE.jpg)
WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-1e3D-PXuHcw/U-s3JP0s24I/AAAAAAAF_Ik/ZDclGQfW0fs/s1600/001.DANCE.jpg)
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
UDSM waadhimisha Siku ya Wanawake
MWENYEKITI wa Kigoda cha Taaluma cha Mwalimu Julius Nyerere, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Penina Mlama, amesema wanawake wataendelea kuukumbusha ulimwengu kuwa kuna mapambano makubwa katika kuleta...
11 years ago
GPLUBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.
Na Mwandishi wetu
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
10 years ago
VijimamboKIJIJI CHA GONGONI WILAYANI KILOSA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI