“Afya bora inaanza na kifungua kinywa bora†wito kutoka hospitali za Apollo kwenye siku ya kisukari duniani 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-2n-l72cibh8/VkrbGAsxXxI/AAAAAAAAIMs/z9hoJecmM24/s72-c/Dr%2BBhuvaneshwari%2BShankar.jpg)
Dk. Bhuvaneshwari Shankar, Mkuu wa idara ya lishe kutoka hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu,
Novemba 14 kila mwaka tunaadhimisha siku ya kisukari duniani ili kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kisukari, matatizo yanayoletwa na huu ugonjwa na taarifa muhimu kuhusu kisukari.
Siku hii inabeba ujumbe mahususi kwa watu wote ulimwenguni. Kauli mbiu katika siku hii tokea 2014 hadi 2016 ni maisha bora na kisukari(healthy living and diabetes) na mwaka huu kuna mtazamo zaidi katika kuzingatia ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Hospitali za Apollo zatoa wito kwa watu binafsi kuchangia damu na kuokoa maisha
Ikisherehekewa kila mwaka tarehe 14 Juni Siku ya kimataifa ya uchangiaji damu inahusika katika kuinua uelewa wa umuhimu wa kila mmoja kuwa mstari wa mbele kuokoa maisha na pia kutoa shukrani kwa wachangiaji damu wote duniani. Katika nchi zinazo kua kama Tanzania upatikanaji wa damu salama ni bidhaa adimu na hasa inachangiwa na ushiriki mdogo wa raia.
Hata hivyo pamoja na shughuli zote zinazofanyika katika siku hiyo ni muhimu sana kila mmoja kutambua umuhimu wa kuchangia damu kwa hiyari....
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WBxDXBYNlGg/VioHGkUu44I/AAAAAAAAVyM/oNHhJuKU1vE/s72-c/IMG_1667%2B%25281280x853%2529.jpg)
NMB MOSHI WATOA KIFUNGUA KINYWA KWA WATEJA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WBxDXBYNlGg/VioHGkUu44I/AAAAAAAAVyM/oNHhJuKU1vE/s640/IMG_1667%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCGe_AR0KMk/VioHVbY59uI/AAAAAAAAVyU/YqabOsW2EJY/s640/IMG_1672%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s5xj3JQ1A08/VioHXwLBFXI/AAAAAAAAVyc/ZxQbHr-6Dy0/s640/IMG_1678%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s8Kom8fYMMA/VioHeJ27yOI/AAAAAAAAVyk/nt1trQvKWqA/s640/IMG_1679%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2W4afsZ9Q/VioHlmkjxgI/AAAAAAAAVys/t3dJ5BhSAiI/s640/IMG_1680%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dk9kZ7nnR1U/VioHviyirlI/AAAAAAAAVy0/78VgOBA78ww/s640/IMG_1682%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1hN96269qgQ/VioH3dOAGrI/AAAAAAAAVy8/AAEJx44AkQ8/s640/IMG_1684%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VFUv6pzbLS8/VagW401DGAI/AAAAAAADyCc/AE3V9IvplM4/s72-c/eid-ul-fitr-2012-orissa.jpg)
KIFUNGUA KINYWA CHA EID EL FITR NYUMBANI KWA BILAL BROOKLYN KARIBU SAA 2 ASUBUHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-VFUv6pzbLS8/VagW401DGAI/AAAAAAADyCc/AE3V9IvplM4/s1600/eid-ul-fitr-2012-orissa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Hospitali ya Apollo yafanikiwa kutenganisha mapacha kutoka Tanzania walioungana
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s72-c/S%2B1.jpg)
Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s640/S%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SFoM-6QXhRE/VcUFYQ2jebI/AAAAAAAAHro/4GR_BSNLbD4/s640/S%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PE-sdGOPPk/VcUFW56cRXI/AAAAAAAAHrY/7fW8g1W-l6c/s640/S%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote
![](http://2.bp.blogspot.com/-3JZvsorUO9E/Vld4HZh5TrI/AAAAAAAAIPE/BHC6BibJMx0/s640/Ms%2BSangita%2BReddy.jpg)
Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu ,
Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.
Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--8GAOX07zLQ/U2JLubgVTqI/AAAAAAAFeZk/VsC8oPXfQg0/s1600/William+Erio_Ole+Gabriel+(Naibu+katibu+mkuu+wizara+ya+habari.jpg)
RAIS KIKWETE AMKABIDHI ZAWADI MFANYAKAZI BORA WA MWAKA KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, HERMAN KACHIMA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s72-c/apollo-03.jpg)
Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s400/apollo-03.jpg)
Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...