Hospitali ya Apollo yafanikiwa kutenganisha mapacha kutoka Tanzania walioungana
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Dec
mapacha kutoka Tanzania walioungana watenganishwa kwa mafanikio nchini India
![Picture1-swahili](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/Picture1-swahili.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s72-c/S%2B1.jpg)
Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s640/S%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SFoM-6QXhRE/VcUFYQ2jebI/AAAAAAAAHro/4GR_BSNLbD4/s640/S%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PE-sdGOPPk/VcUFW56cRXI/AAAAAAAAHrY/7fW8g1W-l6c/s640/S%2B3.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Dec
MAPACHA WALIOUNGANA WATENGANISHWA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/Picture1-swahili.jpg)
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SYu-fglh-Y4/VlCyJ1dNIwI/AAAAAAAIHrk/8Kk5ZmPkIT4/s72-c/0a71d082-9c10-4605-923a-0e0777004614.jpg)
MSAADA WAHITAJIKA KWA MAPACHA WALIOUNGANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-SYu-fglh-Y4/VlCyJ1dNIwI/AAAAAAAIHrk/8Kk5ZmPkIT4/s640/0a71d082-9c10-4605-923a-0e0777004614.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Msaada wahitajika kwa Watoto Mapacha walioungana!
Pichani ni watoto Zahra na Zarina wamezaliwa pacha walioungana tarehe 16/11/15 mama yao Bi Tausi Hageze akiwa njiani kwenye boda boda akitokea kijiji cha Nyarurema Tarafa ya Rulenge Wilaya ya Ngara akielekea hopitali ya misheni Rulenge.
Alipopata uchungu wa kuzidi alimuomba bodaboda asimame akaweza kujifungua kwa shida mbele ya mumewe anaeitwa Hamdani hapo njiani.
Baada ya hapo wakapelekwa hospitali ya misheni Rulenge. Mama na watoto wako salama, kama unavyo ona katika picha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s72-c/apollo-03.jpg)
Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s400/apollo-03.jpg)
Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...
9 years ago
MichuziMtaalamu wa Upasuaji wa Uti wa Mgongo na Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu kutoka Hospitali za Apollo kuendesha huduma Dar
Tanzania ni moja ya nchi ambazo ina uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa mfumo wa fahamu kitendo kinachopelekea nchi kupoteza fedha nyingi kwa kuwapeleka wagonjwa wa matatizo ya aina hiyo nje ya nchi kupata matibabu na ushauri.
Inakadiriwa kuwa watoto wachanga 1000 kati 4000 wanaozaliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu huku wengine 3000 wakishindwa kupatiwa matibabu.
Kutokana na hali hiyo, Hospitali ya Apollo ya nchini India imemleta nchini daktari bingwa wa...
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
JK aongoza mahusiano kati ya Tanzania na Hospitali za Apollo
Mahusiano kati ya Tanzania na India yalianza miaka mingi iliyopita, tangu kipindi hicho mahusiano haya yamekua kufikia mafanikio ya hali ya juu kwa nchi zote mbili. Rais Jakaya Kikwete alitembelea nchini India ambapo alikutana na maafisa mbali mbali wa Serikali hiyo ya India pamoja na maafisa watendaji wakuu wa makampuni pamoja na taasisi mbali mbali. Pia wakati wa ziara hii Rais alisaini makubaliano ya kushirikiana kati ya serikali ya Tanzania na Hospitali za Apollo nchini...