Mtaalamu wa Upasuaji wa Uti wa Mgongo na Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu kutoka Hospitali za Apollo kuendesha huduma Dar
Na Mwandishi Wetu,
Tanzania ni moja ya nchi ambazo ina uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa mfumo wa fahamu kitendo kinachopelekea nchi kupoteza fedha nyingi kwa kuwapeleka wagonjwa wa matatizo ya aina hiyo nje ya nchi kupata matibabu na ushauri.
Inakadiriwa kuwa watoto wachanga 1000 kati 4000 wanaozaliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu huku wengine 3000 wakishindwa kupatiwa matibabu.
Kutokana na hali hiyo, Hospitali ya Apollo ya nchini India imemleta nchini daktari bingwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Hospitali ya Apollo kuendesha kliniki ya ushauri wa magonjwa ya goti, nyonga, bega na mfumo wa fahamu Dar
Kufuatia idadi kubwa ya Watanzania ambao mara kwa mara husafiri kwenda India kwa sababu tofauti tofauti za kimatibabu, wataalamu kutoka Hospitali ya Apollo, Hyderabad, wamefikia uamuzi wa kutoa tiba na ushauri wa kitaalamu kwa Watanzania kupitia kiliniki maalumu ya siku mbili itakayofanyika Dar es Salaam. Kliniki hii maalum itaendeshwa na mtaalamu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu, Dkt Alok Ranjan na mtaalamu wa upasuaji wa mifupa, Dkt Somasekhar Reddy katika hospitali ya Hindu Mandal tarehe...
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Hospitali ya Apollo kuendesha kambi ya uchunguzi kwa ajili ya wagonjwa wa Moyo na mfumo wa fahamu Tanzania
Mwezi Machi sekta ya afya nchini Tanzania imepokea wataalam kutoka nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kutoa huduma za vipimo, ushauri na matibabu kwa watanzania. Ujio huu umeleta faida kubwa kwa wagonjwa na wataalamu nchini. Miongoni mwa waliotembelea ni timu ya Madaktari bingwa kutoka Israel na Hospitali za Apollo zilizopo nchini India. Ziara hizi za mwishoni mwa mwezi March zilitanguliwa na ziara ya madaktari wawill kutoka hospitali ya Apollo ya bangarole mwanzoni mwa mwaka...
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Hospitali za Apollo na jitihada za kuimarisha sayansi ya mfumo wa fahamu Tanzania
Umakini kwa mara nyingine tena umewekwa katika uhitaji wa wataalamu zaidi na kuboresha miundombinu ndani ya sekta ya utabibu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu. Hii inakuja baada ya ziara ya hivi karibuni na timu ya madaktari kutoka hospitali ya Apollo nchini India. Madaktari ambao walikuwa nchini kwa lengo la kujenga uhusiano unaoendelea kati ya hospitali hiyo na Tanzania, walipata fursa ya kutembelea taasisi mbalimbali ikiwa ni pamoja na maboresho ya ujuzi wa wauguzi ambao walipata mafunzo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s72-c/01.ABG.jpg)
AFRICAN BARRICK GOLD MINING WADHAMINI TIBA YA UPASUAJI BURE KWA KICHWA, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s1600/01.ABG.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpMzVLS0kF8/UzGKBG40kUI/AAAAAAAA02g/dweXnqDr42M/s1600/01.ABG9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s72-c/S%2B1.jpg)
Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s640/S%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SFoM-6QXhRE/VcUFYQ2jebI/AAAAAAAAHro/4GR_BSNLbD4/s640/S%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PE-sdGOPPk/VcUFW56cRXI/AAAAAAAAHrY/7fW8g1W-l6c/s640/S%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UOq7_V15e0I/VT-CbTFzolI/AAAAAAAHTys/B1hlxOsXwtw/s72-c/IMG_4285.jpg)
UJUMBE WA WATAALAMU MABINGWA WA MAGONJWA YA KICHWA NA UTI WA MGONGO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UOq7_V15e0I/VT-CbTFzolI/AAAAAAAHTys/B1hlxOsXwtw/s1600/IMG_4285.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rw0LW7XnLvA/VT-CbLwVppI/AAAAAAAHTyo/CMBpM-HkBXQ/s1600/IMG_4362.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...