Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote

Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.

Na Mwandishi Wetu ,

Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.

Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

UBALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA WAZUNGUMZIA SIKU YA KIMATAIFA YA MCHEZO WA YOGA ULIMWENGUNI KOTE, WAANDAA SHINDANO MAALUMU KUELEKEA JUNI 21,2020

 Balozi wa India nchini Tanzania Balozi wa India nchini Sanjiv Kohli(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu siku ya kimataifa ya mchezo wa Yoga ulimwenguni ambayo hufanyika kila Juni 21 ya kila mwaka ambapo ametumia nafasi hiyo kuhamasisha Watazania kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya mwili.Wengine ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Swami Vivekananda  Santhoth Raja(kushoto) na Balozi Msaidizi wa Ubalozi wa India nchini Tanzania R.Chandramouli(kulia).  Balozi wa India...

 

9 years ago

Michuzi

Mtaalamu wa Upasuaji wa Uti wa Mgongo na Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu kutoka Hospitali za Apollo kuendesha huduma Dar

Na Mwandishi Wetu,

Tanzania ni moja ya nchi ambazo ina uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa mfumo wa fahamu kitendo kinachopelekea nchi kupoteza fedha nyingi kwa kuwapeleka wagonjwa wa matatizo ya aina hiyo nje ya nchi kupata matibabu na ushauri.
Inakadiriwa kuwa watoto wachanga 1000 kati 4000 wanaozaliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu huku wengine 3000 wakishindwa kupatiwa matibabu.
Kutokana na hali hiyo, Hospitali ya Apollo ya nchini India imemleta nchini daktari bingwa wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote

10947251_10153309815948842_3623688949296333827_n

En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya

Rapper   kutokea  eneo la Kibera Nchini Kenya,  Octopizzo  ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya  kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...

 

9 years ago

Michuzi

“Afya bora inaanza na kifungua kinywa bora” wito kutoka hospitali za Apollo kwenye siku ya kisukari duniani 2015

Dk. Bhuvaneshwari Shankar, Mkuu wa idara ya lishe kutoka hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu,
Novemba 14 kila mwaka tunaadhimisha siku ya kisukari duniani ili kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kisukari, matatizo yanayoletwa na huu ugonjwa na taarifa muhimu kuhusu kisukari.
Siku hii inabeba ujumbe mahususi kwa watu wote ulimwenguni. Kauli mbiu katika siku hii tokea 2014 hadi 2016 ni maisha bora na kisukari(healthy living and diabetes) na mwaka huu kuna mtazamo zaidi katika kuzingatia ...

 

11 years ago

Mwananchi

Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikishirikiana na wadau wake kuanzia kesho wanatarajia kuanza kutoa huduma kwa saa 24, siku saba za wiki, mwaka mzima bila kupumzika.

 

9 years ago

Mwananchi

Saa 12 kila siku juani na bango la Lowassa

Kwa waliowahi kupita barabara inayotoka Buguruni kuelekea Tazara jijini Dar es Salaam, bila shaka wameshamuona mkereketwa wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Shaibu Masaula (46) akiwa ameshikilia bango lenye picha ya mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Duni Haji huku akirukaruka muda wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani