Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote
Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.
Na Mwandishi Wetu ,
Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.
Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUBALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA WAZUNGUMZIA SIKU YA KIMATAIFA YA MCHEZO WA YOGA ULIMWENGUNI KOTE, WAANDAA SHINDANO MAALUMU KUELEKEA JUNI 21,2020
9 years ago
MichuziMtaalamu wa Upasuaji wa Uti wa Mgongo na Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu kutoka Hospitali za Apollo kuendesha huduma Dar
Tanzania ni moja ya nchi ambazo ina uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa mfumo wa fahamu kitendo kinachopelekea nchi kupoteza fedha nyingi kwa kuwapeleka wagonjwa wa matatizo ya aina hiyo nje ya nchi kupata matibabu na ushauri.
Inakadiriwa kuwa watoto wachanga 1000 kati 4000 wanaozaliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu huku wengine 3000 wakishindwa kupatiwa matibabu.
Kutokana na hali hiyo, Hospitali ya Apollo ya nchini India imemleta nchini daktari bingwa wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote
En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya
Rapper kutokea eneo la Kibera Nchini Kenya, Octopizzo ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...
10 years ago
Michuzi17 Jun
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2n-l72cibh8/VkrbGAsxXxI/AAAAAAAAIMs/z9hoJecmM24/s72-c/Dr%2BBhuvaneshwari%2BShankar.jpg)
“Afya bora inaanza na kifungua kinywa bora†wito kutoka hospitali za Apollo kwenye siku ya kisukari duniani 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-2n-l72cibh8/VkrbGAsxXxI/AAAAAAAAIMs/z9hoJecmM24/s640/Dr%2BBhuvaneshwari%2BShankar.jpg)
Na Mwandishi Wetu,
Novemba 14 kila mwaka tunaadhimisha siku ya kisukari duniani ili kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kisukari, matatizo yanayoletwa na huu ugonjwa na taarifa muhimu kuhusu kisukari.
Siku hii inabeba ujumbe mahususi kwa watu wote ulimwenguni. Kauli mbiu katika siku hii tokea 2014 hadi 2016 ni maisha bora na kisukari(healthy living and diabetes) na mwaka huu kuna mtazamo zaidi katika kuzingatia ...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Saa 12 kila siku juani na bango la Lowassa