Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote

10947251_10153309815948842_3623688949296333827_n

En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya

Rapper   kutokea  eneo la Kibera Nchini Kenya,  Octopizzo  ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya  kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Bendi ya kijanja Skylight yazidi kupagawisha mashabiki wake Thai Village

DSC_0006

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige).

loveness

Birthday Girl mdau wa Skylight Band Loveness akihamaki alipokuwa akiimbiwa wimbo maalum na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita alipoadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.

DSC_0130

Aaaaah imagine sauti inayotoka hapo…Si mwingine ni Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha fans wa Skylight Band.

DSC_0019

 

11 years ago

GPL

BENDI YA KIJANJA SKYLIGHT YAZIDI KUPAGAWISHA MASHABIKI WAKE THAI VILLAGE‏

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige). Birthday Girl mdau wa Skylight Band Loveness akihamaki alipokuwa akiimbiwa wimbo maalum na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita alipoadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.… ...

 

10 years ago

Bongo5

Mirror aahidi ‘bonge la surprise kwa mashabiki wake August 30

Mkali wa ‘Baby’ ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Kolokolo’, Mirror amewataka mashibiki wake wakae tayari kwa video ya wimbo huo. Akiongea na Bongo5, Mirror amesema anafurahi kuapata nafasi ya kufanya show kwenye jukwaa moja na kundi la Sauti Sol la Kenya, tarehe 30 August pale Escape 1. “Hii ni nafasi nzuri sana kwangu kuonesha […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote

Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.

Na Mwandishi Wetu ,

Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.

Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...

 

5 years ago

Michuzi

UBALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA WAZUNGUMZIA SIKU YA KIMATAIFA YA MCHEZO WA YOGA ULIMWENGUNI KOTE, WAANDAA SHINDANO MAALUMU KUELEKEA JUNI 21,2020

 Balozi wa India nchini Tanzania Balozi wa India nchini Sanjiv Kohli(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu siku ya kimataifa ya mchezo wa Yoga ulimwenguni ambayo hufanyika kila Juni 21 ya kila mwaka ambapo ametumia nafasi hiyo kuhamasisha Watazania kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya mwili.Wengine ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Swami Vivekananda  Santhoth Raja(kushoto) na Balozi Msaidizi wa Ubalozi wa India nchini Tanzania R.Chandramouli(kulia).  Balozi wa India...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

9 years ago

Bongo5

Video: Octopizzo aperform show ya Kenya kwa Skype akiwa Ulaya

Umbali sio kikwazo tena mbele ya teknolojia, ndio maana rapper wa Kenya Octopizzo ameweza kusuuza nyoyo za mashabiki wake wa nyumbani (Kenya) kwa kutumbuiza kwa njia ya Skype huku yeye akiwa ziarani Ulaya. Kilichotokea ni kuwa kundi la Elani lilifanya show Kenya weekend iliyopita, na miongoni mwa nyimbo walizoimba ni pamoja na collabo yao mpya […]

 

10 years ago

GPL

SHILOLE AFANYA BONGE LA PATI

Keki maalumu kwa ajili ya Shilole. Shilole akijiandaa kukata keki pembeni ni Steve Nyerere.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Dj D-Ommy wa Times FM afanya tour Kenya

DJ wa kituo cha Times FM, D-Ommy yupo nchini Kenya alikoenda kujitangaza zaidi. DJ D-Ommy (katikati) akiwa na crew ya Citizen TV akiwemo Willy M Tuva (mwisho kulia) na Fundi Frank (wa pili kulia) Ommy amesema lengo la ziara hiyo ni kuhakikisha kuwa mwaka huu ‘anavuka boda’ zaidi. DJ D-Ommy akihojiwa na Tuva Jumatatu hii […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani