Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mirror aahidi ‘bonge la surprise kwa mashabiki wake August 30

Mkali wa ‘Baby’ ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Kolokolo’, Mirror amewataka mashibiki wake wakae tayari kwa video ya wimbo huo. Akiongea na Bongo5, Mirror amesema anafurahi kuapata nafasi ya kufanya show kwenye jukwaa moja na kundi la Sauti Sol la Kenya, tarehe 30 August pale Escape 1. “Hii ni nafasi nzuri sana kwangu kuonesha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote

10947251_10153309815948842_3623688949296333827_n

En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya

Rapper   kutokea  eneo la Kibera Nchini Kenya,  Octopizzo  ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya  kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE

Msanii wa kizazi kipya anayetamba na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’ (katikati) akielezea alivyojipanga kutoa burudani ya nguvu katika shoo yake ya Mwana Dar Live itakayofanyika Sikukuu ya Pasaka ndani ya Dar Live. Kulia ni MC Darada na Msaga Sumu (kushoto). Wasanii watakaotumbuiza kwenye shoo ya Mwana Dar Live Sikukuu ya Pasaka wakiwa katika picha ya pamoja na wadhamini sambamba na waandaaji wa...

 

9 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).… ...

 

9 years ago

Michuzi

NAPE AAHIDI KUTOA USHIRIKIANO KWA WANAHABARI NA WASHIKA DAU WAKE

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na Wakurugenzi na Viongozi wa Idara mbali mbali walio chini ya Wizara yake ambapo aliwaambia kuwa atasimamia haki za wasanii zinapatikana na hatokuwa na huruma na wale wanaokwamisha au kudhulumu kazi za wasanii. 
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake .
 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Annastazia Wambura akiwasalimu Viongozi, Wakuu wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jose Chameleone awapa surprise ya nguvu mashabiki wa Skylight Band, usikose leo kiota cha Escape One

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Njoo leo Skylight imekuandalia suprise za kutosha kutoka katika bendi hii.

DSC_0048

 

Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).

 

Sony Masamba ambaye ni mmoja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Aamsha Simanzi kwa Mashabiki Wake!!!

Kila mtu ana haki na uhuru wa kuandika au kuweka chochote kile anachojisikia kwenye akaunti zake za kwenye mitandao ya kijamii “social networks” ilimradi asivunje sheria za mitandao hiyo.Lakini uhuru na haki hiyo kwa watu mashughuri hali huwa tofauti kabisa unabisha?? Muulize Davido.

Turudi Kwenye Mada

Leo mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM aliweka picha hiyo hapo juu ya filamu ya NDOA YANGU ambayo...

 

9 years ago

Mtanzania

Amani atoa zawadi kwa mashabiki wake

amani4NAIROBI, Kenya

STAA wa muziki nchini Kenya, Cecilia Wairimu ‘Amani’, ametoa zawadi ya video yake mpya ya ‘Heart breaker’ kwa mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu.

Msanii huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu kiasi cha kudhaniwa ameachana na muziki. Wimbo huo uliachiwa mwezi uliopita na video yake imetoka juzi,

“Najua mashabiki wangu walivunjika moyo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia wimbo, lakini kwa sasa watakuwa na furaha kutokana na video hiyo mpya, kikubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki

"Nawapenda sana watoto wangu! Kingine ambacho kinabeba na kita endelea kubeba uzito kwenye maisha yangu ni familia yangu na hasa watoto wangu. Wananipa FURAHA sana. Inshaallah Mwenyezi Mungu awalinde siku zote, Amin

 

9 years ago

Global Publishers

Flavour atoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki wake

Flavour-BN-2015-1Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Mr Flavour.

MWIMBAJI maarufu wa Nigeria, Flavour Na’abalia, ametoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki na wapenzi wake.

Mwimbaji huyo aliyetamba na kibao cha ‘Golibe’ ambaye anasemekana kuwa katika ‘mahaba niue’ na mwimbaji maarufu wa kike wa Nigeria, Chidimma Ekile, ametoa kadi hizo zenye picha yake ambazo zinamwonyesha akiwa na taswira ya kuvutia.

imageKatika picha hiyo, Flavour anaonyesha mwili wake wa kuvutia, tatuu kibao na akiwa kifua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani