Mirror aahidi ‘bonge la surprise kwa mashabiki wake August 30
Mkali wa ‘Baby’ ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Kolokolo’, Mirror amewataka mashibiki wake wakae tayari kwa video ya wimbo huo. Akiongea na Bongo5, Mirror amesema anafurahi kuapata nafasi ya kufanya show kwenye jukwaa moja na kundi la Sauti Sol la Kenya, tarehe 30 August pale Escape 1. “Hii ni nafasi nzuri sana kwangu kuonesha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote
En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya
Rapper kutokea eneo la Kibera Nchini Kenya, Octopizzo ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...
10 years ago
GPLALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE
9 years ago
GPLJOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SIjSWFM3gAw/Vm6SC_bJdkI/AAAAAAAAsOQ/ZHmpJTieqEI/s72-c/24.jpg)
NAPE AAHIDI KUTOA USHIRIKIANO KWA WANAHABARI NA WASHIKA DAU WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-SIjSWFM3gAw/Vm6SC_bJdkI/AAAAAAAAsOQ/ZHmpJTieqEI/s640/24.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOgIB_EBpPc/Vm6SBq9h9AI/AAAAAAAAsN4/YPAlbZsufB4/s640/17.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Jose Chameleone awapa surprise ya nguvu mashabiki wa Skylight Band, usikose leo kiota cha Escape One
Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Njoo leo Skylight imekuandalia suprise za kutosha kutoka katika bendi hii.
Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).
Sony Masamba ambaye ni mmoja...
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Wolper Aamsha Simanzi kwa Mashabiki Wake!!!
Kila mtu ana haki na uhuru wa kuandika au kuweka chochote kile anachojisikia kwenye akaunti zake za kwenye mitandao ya kijamii “social networks” ilimradi asivunje sheria za mitandao hiyo.Lakini uhuru na haki hiyo kwa watu mashughuri hali huwa tofauti kabisa unabisha?? Muulize Davido.
Turudi Kwenye Mada
Leo mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM aliweka picha hiyo hapo juu ya filamu ya NDOA YANGU ambayo...
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Amani atoa zawadi kwa mashabiki wake
NAIROBI, Kenya
STAA wa muziki nchini Kenya, Cecilia Wairimu ‘Amani’, ametoa zawadi ya video yake mpya ya ‘Heart breaker’ kwa mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu.
Msanii huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu kiasi cha kudhaniwa ameachana na muziki. Wimbo huo uliachiwa mwezi uliopita na video yake imetoka juzi,
“Najua mashabiki wangu walivunjika moyo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia wimbo, lakini kwa sasa watakuwa na furaha kutokana na video hiyo mpya, kikubwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s72-c/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s640/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Flavour atoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki wake
Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Mr Flavour.
MWIMBAJI maarufu wa Nigeria, Flavour Na’abalia, ametoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki na wapenzi wake.
Mwimbaji huyo aliyetamba na kibao cha ‘Golibe’ ambaye anasemekana kuwa katika ‘mahaba niue’ na mwimbaji maarufu wa kike wa Nigeria, Chidimma Ekile, ametoa kadi hizo zenye picha yake ambazo zinamwonyesha akiwa na taswira ya kuvutia.
Katika picha hiyo, Flavour anaonyesha mwili wake wa kuvutia, tatuu kibao na akiwa kifua...