Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wolper Aamsha Simanzi kwa Mashabiki Wake!!!

Kila mtu ana haki na uhuru wa kuandika au kuweka chochote kile anachojisikia kwenye akaunti zake za kwenye mitandao ya kijamii “social networks” ilimradi asivunje sheria za mitandao hiyo.Lakini uhuru na haki hiyo kwa watu mashughuri hali huwa tofauti kabisa unabisha?? Muulize Davido.

Turudi Kwenye Mada

Leo mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM aliweka picha hiyo hapo juu ya filamu ya NDOA YANGU ambayo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kwa Maneno Haya, Wolper Anajivunia Mpenzi Wake Aliempa ‘Ndinga’ Hili

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake  mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia” ..

“Being with someone who won't give up on you”.  Akaandika tena  “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”.

Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwasasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye  anampenda na anaonyesha kumajali sana mrembo huyu na pengine kwa swaga za mitandaoni , naungana na wengi waliompongeza kwa kupewa ndinga...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

9 years ago

Mtanzania

Amani atoa zawadi kwa mashabiki wake

amani4NAIROBI, Kenya

STAA wa muziki nchini Kenya, Cecilia Wairimu ‘Amani’, ametoa zawadi ya video yake mpya ya ‘Heart breaker’ kwa mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu.

Msanii huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu kiasi cha kudhaniwa ameachana na muziki. Wimbo huo uliachiwa mwezi uliopita na video yake imetoka juzi,

“Najua mashabiki wangu walivunjika moyo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia wimbo, lakini kwa sasa watakuwa na furaha kutokana na video hiyo mpya, kikubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki

"Nawapenda sana watoto wangu! Kingine ambacho kinabeba na kita endelea kubeba uzito kwenye maisha yangu ni familia yangu na hasa watoto wangu. Wananipa FURAHA sana. Inshaallah Mwenyezi Mungu awalinde siku zote, Amin

 

9 years ago

Global Publishers

Flavour atoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki wake

Flavour-BN-2015-1Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Mr Flavour.

MWIMBAJI maarufu wa Nigeria, Flavour Na’abalia, ametoa kadi maalum za Krismas kwa mashabiki na wapenzi wake.

Mwimbaji huyo aliyetamba na kibao cha ‘Golibe’ ambaye anasemekana kuwa katika ‘mahaba niue’ na mwimbaji maarufu wa kike wa Nigeria, Chidimma Ekile, ametoa kadi hizo zenye picha yake ambazo zinamwonyesha akiwa na taswira ya kuvutia.

imageKatika picha hiyo, Flavour anaonyesha mwili wake wa kuvutia, tatuu kibao na akiwa kifua...

 

10 years ago

Bongo5

Mirror aahidi ‘bonge la surprise kwa mashabiki wake August 30

Mkali wa ‘Baby’ ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Kolokolo’, Mirror amewataka mashibiki wake wakae tayari kwa video ya wimbo huo. Akiongea na Bongo5, Mirror amesema anafurahi kuapata nafasi ya kufanya show kwenye jukwaa moja na kundi la Sauti Sol la Kenya, tarehe 30 August pale Escape 1. “Hii ni nafasi nzuri sana kwangu kuonesha […]

 

10 years ago

CloudsFM

ALI KIBA AWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUISAPOTI MWANA DSM

Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba amewashukuru mashabiki wake kwa kusapoti ngoma zake ikiwemo Mwana Dsm ambayo aliitoa mwaka jana lakini kutoka na sapoti kubwa ya mashabiki hadi leo inafanya vyema kwenye vituo mbalimbali vya redio na tv.

Ali Kiba amewashukuru mashabiki wake kupitia mtandao wa Instagram na kuandikia hivi… Shout outs na shukurani nyingi sana kwa support yenu- kurequest nyimbo zangu kwenye redio na TV na comments zenu on social media zangu. Nawaona wote sema siwezi kuwajibu moja...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YAONYESHA ‘UBABE’ WAKE DAR LIVE KWA MASHABIKI

Mzee Yusuf akikidhi kiu ya mashabiki wake.   Mashabiki ‘wakila muziki’.  …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani