Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa Maneno Haya, Wolper Anajivunia Mpenzi Wake Aliempa ‘Ndinga’ Hili

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake  mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia” ..

“Being with someone who won't give up on you”.  Akaandika tena  “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”.

Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwasasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye  anampenda na anaonyesha kumajali sana mrembo huyu na pengine kwa swaga za mitandaoni , naungana na wengi waliompongeza kwa kupewa ndinga...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NAY AMNUNULIA MPENZI WAKE NDINGA

Na Gladness Mallya
BAADA ya kumaliza mgogoro wao, msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anadaiwa kumnunulia gari kali mpenzi wake aitwaye Siwema. Gari aina ya Toyota Lexus aliyonunuliwa Siwema na Nay. Akistorisha na gazeti hili, Nay alisema aliamua kumnunulia mpenzi wake gari hilo lenye thamani ya shilingi milioni 36 kwa sababu anampenda na alimuahidi kumpa zawadi....

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!

UNAWEZA kuambiwa maneno mengi sana kutoka kwa mpenzi wako, mazuri na mabaya lakini yapo ambayo yanatoa taswira isiyo nzuri. Jambo la msingi ni kuwa makini kupambanua.
Pointi ya msingi hapa ni lugha zenye ishara mbaya kwa wapenzi. Umewahi kujiuliza kuhusu hili? Umewahi kutafakari juu ya kauli chafu anazotoa mpenzi wako dhidi yako? Kauli za maudhi, kashfa na hata matusi wakati mwingine, wewe unazichukuliaje? Rafiki zangu, kauli...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2

NINA furaha sana moyoni mwangu maana ninakwenda kuzungumza na wewe kuhusu mambo muhimu sana katika maisha yetu ya kimapenzi. Rafiki zangu, nazungumza juu ya kauli ambazo zina ishara mbaya kwenye uhusiano. Wakati mwingine unaweza kumsikia mpenzi wako akikuambia maneno ya ajabu sana, lakini usielewe maana yake ni nini. Ngoja nikuambie, kila kinachotoka kinywani mwa mpenzi wako kukuambia wewe kina maana yake. Lengo ni kujifunza;...

 

9 years ago

Bongo Movies

Haya Ndiyo Maneno ya Wolper Baada ya Kuvalishwa Pete

Staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper ambaye amevishwa pete na mchumba wake, jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram alifunguka haya, mara baada ya kubandika picha hizihuku akipost picha kadhaa wakati akivalishwa pete.

”Kweli Maisha uwezi kuyapanga wala kuyajenga zaidi ya Mungu.. dah nimekaa na mwenzangu leo sku nzima nimecheka nimenuna kumbe kuna tukio mbele dah sijategemea kabisa nimekaa maskani niliyozoea kukaa kila sku na Mr wangu sasa leo nashangaa kanunua mashat...

 

10 years ago

Vijimambo

UNANINI CHA KUSEMA JUU YA MANENO HAYA YA PROF ANNA TIBAIJUKA KWA WAPIGA KULA WAKE BAADA KUZOMEWA MBELE YA KINANA HUKO BUKOBA.

JE mnachuliaje uamuzi alichokua Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) na aliewahi kuwa waziri wa Ardhi nyumba na makazi, Profesa Anna Tibaijuka jana baada ya kuzomewa mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ambapo alisema haya“Kama hamnitaki siyo lazima niwe mbunge wenu, mnaruhusiwa kubadili. Huyo aliyewapa viroba asubuhi hii ili mje mnitie aibu mbele ya katibu mkuu wa chama nawaambia hiyo dhambi itawatafuna,” alisema. “Mimi sitafuti kazi na wala sina njaa... na kama hela ya kula ninayo....

 

9 years ago

Bongo5

Jacqueline Wolper aeleza jinsi anavyompenda mpenzi wake

12276915_486815101498706_1425453824_n

Muigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper baada ya kuvalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake miezi miwili iliyopita, jana amemwandikia ujumbe mzuri wa siku yake ya kuzaliwa kuonesha jinsi anavyompenda.

12276915_486815101498706_1425453824_n

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wolper ameandika: “100% Comfort zone… Who else understands and accepts all of me? Who else can I count on for comfort and security? Who else can I call at any hour of the day or night? Who else rallies behind me in my good decisions and are there to help...

 

9 years ago

Bongo Movies

Maneno Haya ya Lulu Kwenye Picha Hii ya Waacha Hoi Mashabiki Wake

Hapa na Pale: Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha watu hoi baada ya kubandika picha hiyo hapo chini ikimuonyesha yeye na baba yake mzazi ‘Mzee Michael’ na kumwagia sifa baba yake huku akiomba dua aje kuzaa mtoto atakaye fanana na baba yake (Mzee Michael) kitendo ambacho kila shabiki yake mtandaoni alikuwa na yake ya kusema.

LULU542

“Le Mbebe…! Le Super Handsome🙌🙌🙌🙌Le Twinnie💖💖💖
Mzaa Chema…Mzee Michael..!!!
Ewe Mtoto Wangu WA...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO ANAWASILIANA NA ‘EX’ WAKE? FANYA HAYA

Unapoingia katika penzi jipya, ni kipindi ambacho moyo wako unakuwa na furaha ya hali ya juu. Unaweza kuhisi unaibeba dunia nzima kwa raha ya penzi jipya, utajitahidi kumuonesha huyo uliyempata kila aina ya mahaba ilimradi aendelee kuwa na wewe na akupende zaidi. Lakini kadiri unavyozidi kukaa na mwenzako na mnavyozidi kuzoeana, ndipo unapopata nafasi ya kuyajua maisha yake kwa undani. Taratibu utaanza kufahamu yeye ni mtu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani