Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAY AMNUNULIA MPENZI WAKE NDINGA

Na Gladness Mallya
BAADA ya kumaliza mgogoro wao, msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anadaiwa kumnunulia gari kali mpenzi wake aitwaye Siwema. Gari aina ya Toyota Lexus aliyonunuliwa Siwema na Nay. Akistorisha na gazeti hili, Nay alisema aliamua kumnunulia mpenzi wake gari hilo lenye thamani ya shilingi milioni 36 kwa sababu anampenda na alimuahidi kumpa zawadi....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kwa Maneno Haya, Wolper Anajivunia Mpenzi Wake Aliempa ‘Ndinga’ Hili

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake  mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia” ..

“Being with someone who won't give up on you”.  Akaandika tena  “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”.

Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwasasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye  anampenda na anaonyesha kumajali sana mrembo huyu na pengine kwa swaga za mitandaoni , naungana na wengi waliompongeza kwa kupewa ndinga...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Siwema wa Nay wa Mitego aanza maisha na mpenzi mpya

Mpenzi wa zamani wa Nay wa Mitego, Siwema aka ‘Mama Curtis’ ameonekana akila bata na mwanaume anayedaiwa kuwa ndiye mpenzi wake mpya baada ya kuachana na rapper huyo. Mpenzi huyo wa Siwema anayetambulika kwa jina la John, alipost picha akiwa pamoja na Siwena na kuandika; Mama curtis kanuna.” Baada ya kauli hiyo followers wake walimuomba […]

 

11 years ago

Bongo Movies

SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.


Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.

Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.

“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...

 

9 years ago

Global Publishers

Nay wa Mitego azinguana na demu wake

nay (2)Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’

BRIGHTON MASALU
KUFUATIA kunaswa na mrembo mpya na picha hizo kuanikwa na gazeti la Risasi juzikati, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ yuko kwenye mgogoro mzito na mpenzi wake aishie Marekani, Stella Tilya ‘Chagga Baby’.

nayStella Tilya ‘Chagga Baby’.

Akizungumza na Amani, Nay alisema msuguano uliopo kati yake na mwanamke huyo ni mkubwa kwani picha hizo akiwa na msichana aliyejulikana kwa jina moja la...

 

10 years ago

Mtanzania

Kabula atulizwa na mpenzi wake

jini kabulaNA RHOBI CHACHA

BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.

Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.

“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...

 

10 years ago

GPL

NISHA MPENZI WAKE WAMWAGANA

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake....

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha na Mpenzi Wake Wamwagana

 

Mwigizaji wa kike  anaeonyesha uwezo mkubwa  kwenye tansia ya  filamu hapa Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.

Chanzo makini cha GPL,kilisema kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake.

Baada ya kuzinyaka habari hizo paparazi...

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego afunguka uhusiano wake na Shamsa Ford

Staa wa Bongo Fleva,Elibarik Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’amefunguka uhusiano wake na mwigizaji wa filamu za Kibongo,Shamsa Ford baada ya picha kadhaa kuzagaa mtandaoni wakiwa kimahaba wakipigana mabusu.Akipiga Stori na Clouds Fm alisema kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yoyote kwa sasa siyo tu Shamsa Ford, na nafasi ipo kwa yoyote anatakayekubali kuwa mpenzi wake.

‘’Jamani nipo singo kwa sasa sina uhusino na mwanamke yoyote na Shamsa siyo mpenzi wangu,’’alisema Nay. Akizungumzia picha...

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego na mchumba wake wapata mtoto wa kiume

Mchumba wa rapper Nay wa Mitego, Siwema amejifungua mtoto wa kiume jana ambapo pia ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa mama wa msanii huyo. Mtoto wa Nay akiwa na bibi yake Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nay ameandika:Ooooooh my goooooood!!!! Leo ni cku ya kuzaliwa mama angu mzazi,,, tukiwa 2nakata cake napigiwa cm nimepata mtoto […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani