Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nay wa Mitego na mchumba wake wapata mtoto wa kiume

Mchumba wa rapper Nay wa Mitego, Siwema amejifungua mtoto wa kiume jana ambapo pia ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa mama wa msanii huyo. Mtoto wa Nay akiwa na bibi yake Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nay ameandika:Ooooooh my goooooood!!!! Leo ni cku ya kuzaliwa mama angu mzazi,,, tukiwa 2nakata cake napigiwa cm nimepata mtoto […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

NAY WA MITEGO,SIWEMA WAPATA MTOTO WA KIUME

STAA wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego na mpenzi wake aitwaye Siwema wamepata mtoto wa kiune hivi karibuni.

Kupitia mtandao wa Instagram Nay aliandika hivi...Ooooooh my goooooood!!!! Leo ni cku ya kuzaliwa mama yangu mzazi,,, tukiwa tunakata cake napigiwa simu nimepata mtoto wakiume... yani kazaliwa siku moja na bibi yake,,! Hao apo wamezaliwa leo... Asante Mungu..

 

11 years ago

Bongo5

Exclusive Pics: Mchumba wa Nay wa Mitego, Siwema ni mjamzito tena!

Baada ya kuharibika kwa mimba ya kwanza ya mchumba Nay Wa Mitego, Siwema, hatimaye mwanadada huyo anatatarajia kuwa mama tena na anatarajia kujifungua hivi karibuni. Nay wa Mitego akiwa na mpenzi wake Siwema “Umemuona mama kijacho,” Nay alimwambia wa Bongo5 baada ya kutembelewa na mpenzi wake katika uwanja ndege wa Mwanza akijiandaa kuekelea Dar es […]

 

11 years ago

GPL

NAY WA MITEGO AMWANIKA MTOTO WA SKAINA!

Stori: Gladness Mallya
Mambo hadharani! Baada ya kimya kirefu, staa wa Hip hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa mara ya kwanza amemwanika mtoto aliyezaa na msanii wa sinema za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ na kukiri kwamba ni wa kwake. Mtoto wa staa wa Hip hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ wa miaka miwili na nusu anayejulikana kwa jina la Munie. Akizungumza na...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

kim na kanye

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).

kim na kanye

Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.

He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4

— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015

Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford anamlea mtoto wa Nay Wa Mitego?

Picha iliyosambaa mtandaoni ikimuonyesha staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford akiwa amembeba mtoto wa staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego, Curtis imezua maswali kwa mashabiki wao kuwa huenda mwigizaji huyo kwa sasa anamlea mtoto huyo.

Miezi ya hivi karibuni Nay Wa Mitego aliamua kumchukua mtoto wake kutoka kwa mama yake Siwema aliyekuwa akiishi jijini Mwanza baada ya kutoelewana kati yao na minong’ono ilisambaa kuwa msanii huyo anatoka kimapenzi na Shamsa Ford.

Hata hivyo wote wawili walikana...

 

10 years ago

Bongo5

Alicia Keys na Swizz Beatz wapata mtoto wa pili wa kiume

Muimbaji Alicia Keys aliyekuwa mjamzito na mumewe Swizz Beatz wamepata mtoto wa pili aliyezaliwa Jumamosi Dec 27. Wanandoa hao wametangaza kupitia Instagram kuwa mtoto wao wa pili aliyezaliwa ni wa kiume na wamempa jina la Genesis Ali Dean. Keyz na Beatz walifunga ndoa mwaka 2010 na kufanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume aitwaye […]

 

9 years ago

Global Publishers

Nay wa Mitego azinguana na demu wake

nay (2)Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’

BRIGHTON MASALU
KUFUATIA kunaswa na mrembo mpya na picha hizo kuanikwa na gazeti la Risasi juzikati, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ yuko kwenye mgogoro mzito na mpenzi wake aishie Marekani, Stella Tilya ‘Chagga Baby’.

nayStella Tilya ‘Chagga Baby’.

Akizungumza na Amani, Nay alisema msuguano uliopo kati yake na mwanamke huyo ni mkubwa kwani picha hizo akiwa na msichana aliyejulikana kwa jina moja la...

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego afunguka uhusiano wake na Shamsa Ford

Staa wa Bongo Fleva,Elibarik Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’amefunguka uhusiano wake na mwigizaji wa filamu za Kibongo,Shamsa Ford baada ya picha kadhaa kuzagaa mtandaoni wakiwa kimahaba wakipigana mabusu.Akipiga Stori na Clouds Fm alisema kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yoyote kwa sasa siyo tu Shamsa Ford, na nafasi ipo kwa yoyote anatakayekubali kuwa mpenzi wake.

‘’Jamani nipo singo kwa sasa sina uhusino na mwanamke yoyote na Shamsa siyo mpenzi wangu,’’alisema Nay. Akizungumzia picha...

 

11 years ago

Bongo5

Mwisho mwampamba na mkewe Mnamibia Meryl wa ‘BBA’ wapata mtoto wao pili wa kiume

Mtangazaji wa kipindi cha ‘Boys Boys’ cha TV 1, Mwisho Mwampamba na mkewe Meryl ambaye walikutana na kuanzisha mahusiano kwenye Big Brother Africa ‘All stars’, wamefanikiwa kupata mtoto wao wa pili kama couple. Meryl ambaye ni Mnamibia amejifungua mtoto wa kiume mwishoni mwa May 2014 ambaye wamemuita ‘King David’. Meryl akiwa na mtoto wa Mwisho […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani