Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Octopizzo aperform show ya Kenya kwa Skype akiwa Ulaya

Umbali sio kikwazo tena mbele ya teknolojia, ndio maana rapper wa Kenya Octopizzo ameweza kusuuza nyoyo za mashabiki wake wa nyumbani (Kenya) kwa kutumbuiza kwa njia ya Skype huku yeye akiwa ziarani Ulaya. Kilichotokea ni kuwa kundi la Elani lilifanya show Kenya weekend iliyopita, na miongoni mwa nyimbo walizoimba ni pamoja na collabo yao mpya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

OCTOPIZZO: Afanya bonge la tour Ulaya na kupagawisha mashabiki wake Ulimwenguni kote

10947251_10153309815948842_3623688949296333827_n

En route with Excitement to a 1 week #London #LDPCTour & Business Collaboration proudly sponsored by the British Council Kenya @tonyreilly5, @HCCTurner @ke_British British Council Kenya

Rapper   kutokea  eneo la Kibera Nchini Kenya,  Octopizzo  ambaye tokea mwezi ulioisha wa Septemba amekuwa kwenye ziara maalum katika Bara la Ulaya akipiga ‘Tour’ maalum ya  kimuziki na harakati mbalimbali kama Balozi wa vijana akipigwa tafu na British Council ameweza kukonga nyoyo mashabiki wake waliopo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima

Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,

Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.

IMG_9221

 

10 years ago

BBCSwahili

Octopizzo anayetetea vijana Kenya

Octopizzo ni msanii wa miondoko ya hip hop, mwanaharakati na balozi wa vijana, mwenye jina la aina yake kutoka nchini Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Octopizzo nyota wa Hip Hop Kenya

Nyota wa mziki wa kizazi kipya cha Hip Hop nchini Kenya Octopizzo amewaduwaza wengi na ari yake ya Ufanisi.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina

Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]

 

5 years ago

Tom's Guide

Forget Zoom: Skype unveils free 'Meet Now' video calls

Forget Zoom: Skype unveils free 'Meet Now' video calls  Tom's GuideSkype rolls out 'Meet Now' calls that don't need a a sign-up or installation  EngadgetZoom Meeting App: Advanced Tips to Instantly Make You a Video Calling Pro  Gadgets 360Zoom will enable waiting rooms by default to stop Zoombombing  TechCrunchSkype introduces video meetings with no sign-up needed for those wanting a Zoom alternative  TechradarView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Octopizzo f/ M.I — Salute Me

Rapper wa Kenya, Octopizzo ameachia video ya ngoma yake aliyomshirikisha rapper wa Nigeria, M.I Abaga. Itazame hapa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Octopizzo kuja na video mpya, aanza kuiachia Instagram

Octopizzo aki selfie kwenye tamasha la 12 la Sauti za Busara 2015 lililofanyika Februari 14

Octopizzo aki-selfie kwenye tamasha la 12 la Sauti za Busara 2015 lililofanyika Februari 14 visiwani Zanzibar.

Na Andrew Chale wa modewji blog

Rapa mwenye kuteka hisia kali ya muziki wa Hip Hop, Nchini Kenya na Afrika Mashariki kwa sasa,   Octopizzo  ambaye pia ni mwanaharakati na balozi wa vijana katika masuala mbalimbali ya vijana nchini Kenya, ameanza kuachia sehemu ya video yake mpya kupitia mitandao yake ya kijamii.

Octopizz ‘Octo’ kupitia mtandao wake facebook’ mapema leo alitupia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani