Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina
Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Sep
Octopizzo hakudanganya tu kumshirikisha August Alsina, upo ushahidi hata wimbo ‘This Could Be Us’ ameuiba!
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: August Alsina – Song Cry

Mwanamuziki wa R&B August Alsina ametoa video mpya ya wimbo “Song Cry” kutoka kwenye albamu yake ya pili “This Thing Called Life” iliyozinduliwa Desemba 11 mwaka huu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo502 Sep
Update: Octopizzo azungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kudanganya kumshirikisha August Alsina, sikiliza alichojibu (Audio)
11 years ago
GPL16 Sep
10 years ago
Bongo511 Sep
Video: Juicy J Ft. Lil Wayne & August Alsina – Miss Mary Mack
10 years ago
Bongo502 Nov
Video: Curren$y Feat. August Alsina & Lil Wayne – Bottom of the Bottle

10 years ago
Bongo519 Sep
Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond
10 years ago
Bongo525 Sep
New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego
Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.
Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.
Msanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...