Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina

Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Octopizzo hakudanganya tu kumshirikisha August Alsina, upo ushahidi hata wimbo ‘This Could Be Us’ ameuiba!

Rapper wa Kenya Octopizzo anazidi kuumbuka kutokana na wimbo wake wa ‘This Could Be us’ ambao hapo awali alidai kuwa amemshirikisha staa wa Marekani, August Alsina. Baada ya uongozi wa August kukanusha msanii wao hakushirikishwa kwenye wimbo huo, lilibaki fumbo la ile sauti kwenye ya kiitikio ni ya nani kama si muimbaji huyo wa Marekani, […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: August Alsina – Song Cry

august-song-cry2

Mwanamuziki wa R&B August Alsina ametoa video mpya ya wimbo “Song Cry” kutoka kwenye albamu yake ya pili “This Thing Called Life” iliyozinduliwa Desemba 11 mwaka huu.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Update: Octopizzo azungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kudanganya kumshirikisha August Alsina, sikiliza alichojibu (Audio)

Octopizzo anaendelea kutawala vichwa vya habari Afrika Mashariki, kitu ambacho ndio lengo lake haswa kwasababu inampa ‘kiki’ hasa wakati huu ambao ameachia video mpya. Kinachomfanya azidi kuzungumziwa ni kuhusu swala la wimbo ambao mwanzo alidai amefanya na August Alsina mpaka uongozi wa msanii huyo ulipokuja kukanusha, na ukapatikana ushahidi wa wimbo mwingine unaofanana na huo […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Juicy J Ft. Lil Wayne & August Alsina – Miss Mary Mack

Juicy J shares the tape’s first video for the Mike WiLL Made-It-produced “Miss Mary Mack.” It’s a classic example of a rapper anthropomorphically describing weed as a beautiful woman. The song features August Alsina and Lil Wayne, both of whom appear in the video. All three rappers kick back poolside at a luxurious mansion with […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Curren$y Feat. August Alsina & Lil Wayne – Bottom of the Bottle

currensy-lil-wayneCurren$y is readying his sixth and first major-label album Canal Street Confidential. But first the New Orleans rapper throws a house party with Lil Wayne in the video for “Bottom of the Bottle.” Curren$y plays spin the bottle with a group of sexy ladies, while Weezy makes out with two chicks on the pool table. […]

 

10 years ago

Bongo5

Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond

Iyanya ni miongoni mwa mastaa wa Nigeria waliotoa ahadi ya kuachia album mpya mwezi September. Ametimiza ahadi yake kwa kuachia album yake ya 4 ‘Applaudise’ yenye jumla ya nyimbo 20. Katika album hiyo pia upo wimbo aliomshirikisha Diamond platnumz ‘Nakupenda’. Mastaa wengine walioshirikishwa ni Banky W, Patoranking, Tekno, Selebobo Olamide, Lil Kesh, Victoria Kimani, Harrysong, […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up

Ikiwa imebaki wiki moja kabla album yake mpya ‘Unbreakable’ haijatoka rasmi Octoba 2, Janet Jackson ameachia single nyingine – Burn It Up. Katika single hiyo JJ kamshirikisha rapper mkongwe wa kike Missy Elliott. Janet aliwahi kutease wimbo huu alipokuwa akizindua ziara yake hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego

Daynaaa

Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.

Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.

nyangeMsanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani