Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond
Iyanya ni miongoni mwa mastaa wa Nigeria waliotoa ahadi ya kuachia album mpya mwezi September. Ametimiza ahadi yake kwa kuachia album yake ya 4 ‘Applaudise’ yenye jumla ya nyimbo 20. Katika album hiyo pia upo wimbo aliomshirikisha Diamond platnumz ‘Nakupenda’. Mastaa wengine walioshirikishwa ni Banky W, Patoranking, Tekno, Selebobo Olamide, Lil Kesh, Victoria Kimani, Harrysong, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake
Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.
K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.
Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.
Ding Dong | tayotv Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
Bongo504 Sep
Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya unaobeba album yake ijayo ‘Unbreakable’
9 years ago
Bongo525 Sep
New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego
Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.
Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.
Msanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...
11 years ago
Bongo509 Jul
New Music: Usher aachia wimbo mpya aliomshirikisha Nicki Minaj na kutengenezwa na Pharrell ‘She Came to Give It to You’
9 years ago
Bongo525 Aug
Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina
9 years ago
Bongo518 Dec
Bob Junior ataja jina la wimbo aliomshirikisha Diamond
Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.
Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.
Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.
“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.
Bob Junior pia amewataka mashabiki wake...
10 years ago
Bongo514 Jul
Video: Iyanya releases visuals for ‘Applaudise’
10 years ago
Vijimambo