Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond

Iyanya ni miongoni mwa mastaa wa Nigeria waliotoa ahadi ya kuachia album mpya mwezi September. Ametimiza ahadi yake kwa kuachia album yake ya 4 ‘Applaudise’ yenye jumla ya nyimbo 20. Katika album hiyo pia upo wimbo aliomshirikisha Diamond platnumz ‘Nakupenda’. Mastaa wengine walioshirikishwa ni Banky W, Patoranking, Tekno, Selebobo Olamide, Lil Kesh, Victoria Kimani, Harrysong, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake

K.O

Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.

K.O

K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.

Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.

Ding Dong | tayotv

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya unaobeba album yake ijayo ‘Unbreakable’

Janet Jackon ameendelea kuwaonjesha mashabiki wake kile kitakachopatikana katika album yake mpya kwa kuachia wimbo uliobeba album hiyo. Hii ni single ya tatu kuachia kutoka kwenye album hiyo ambayo imefata baada ya ‘No Sleep’ aliyomshirikisha J.Cole. Album ya ‘Unbreakable’ imepangwa kutoka October 2, 2015 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up

Ikiwa imebaki wiki moja kabla album yake mpya ‘Unbreakable’ haijatoka rasmi Octoba 2, Janet Jackson ameachia single nyingine – Burn It Up. Katika single hiyo JJ kamshirikisha rapper mkongwe wa kike Missy Elliott. Janet aliwahi kutease wimbo huu alipokuwa akizindua ziara yake hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego

Daynaaa

Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.

Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.

nyangeMsanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Usher aachia wimbo mpya aliomshirikisha Nicki Minaj na kutengenezwa na Pharrell ‘She Came to Give It to You’

Usher Raymond jana (July 8) ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘She Came to Give It to You’ baada ya ‘Good kisser’. Katika wimbo huo kamshirikisha rapper wa kike Nicki Minaj. Producer wa wimbo huo ni hit maker wa ‘Happy’, Pharrell Williams. Wimbo huu utapatikana katika album ya nane ya Usher inayotarajiwa kutoka mwezi September mwaka […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina

Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]

 

9 years ago

Bongo5

Bob Junior ataja jina la wimbo aliomshirikisha Diamond

Bob Junior Sharobaro

Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.

Bob Junior Sharobaro

Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.

Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.

“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.

Bob Junior pia amewataka mashabiki wake...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Iyanya releases visuals for ‘Applaudise’

Triple MG artist, Iyanya from Nigeria releases the official video to his recent smash hit, “Applaudise”. The video tells a brief story of Iyanya riding all the storms to marry his girlfriend. The AJE Filmworks-directed video also features cameo appearances from a couple of celebrities and stars including Banky W. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani