Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bob Junior ataja jina la wimbo aliomshirikisha Diamond

Bob Junior Sharobaro

Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.

Bob Junior Sharobaro

Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.

Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.

“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.

Bob Junior pia amewataka mashabiki wake...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bob Junior, Diamond kuja na wimbo wa pamoja

Bob JuniorNA MWALI IBRAHIM
BAADA ya kushangaza wengi alipohudhuria katika sherehe ya Zari All White Party iliyoandaliwa na msanii Abdul Nasib ‘Diamond’ anayedaiwa kutoelewana naye, prodyuza Raheem Rummy ‘Bob Junior’, ameendelea kushangaza wengi kwa madai kwamba wapo mbioni kurekodi wimbo wa pamoja na msanii huyo.
Prodyuza huyo aliweka wazi mipango yake hiyo huku akidai tayari ameshanunua baadhi ya vifaa vipya kwa ajili ya kuimarisha studio yake iwe katika ubora wa kimataifa kama studio nyingine...

 

9 years ago

Bongo5

Hili ndio jina la wimbo wa Avril aliomshirikisha AY, mtazame akiuongelea (Video)

Muimbaji wa Kenya, Avril alikuja nchini kushoot video ya wimbo mpya aliomshirikisha AY na kumchukua Hanscana kuiongoza. Avril aliiambia Bongo5 kuwa wimbo huo unaitwa ‘No Stress.’ “Nilirekodi kitambo kiasi na AY,” anasema. “Kama unavyojua nilifanya kazi na AY five years ago, aliniweka kwenye Leo remix. So five years later nimemwambia wewe nawe njoo kwenye ngoma […]

 

10 years ago

Bongo5

‘Unafanya kazi na mkata viuno’ — Mashabiki wamchana Roma kurekodi wimbo na Bob Junior

Inaonekana mashabiki wa Roma Mkatoliki hawajaafikiana na uamuzi wake wa kurekodi wimbo na Rais wa Masharobaro, Bob Junior. Roma ameiambia Bongo5 kuwa kwa miaka saba amekuwa akifanya muziki wake bila matatizo lakini kitendo cha kurekodi wimbo na Bob Junior kimegeuka kero kwa wengine. “Baada ya kusema nafanya kazi na Bob Junior kuna kitu ambacho kimetengenezeka […]

 

9 years ago

Bongo5

Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond

Iyanya ni miongoni mwa mastaa wa Nigeria waliotoa ahadi ya kuachia album mpya mwezi September. Ametimiza ahadi yake kwa kuachia album yake ya 4 ‘Applaudise’ yenye jumla ya nyimbo 20. Katika album hiyo pia upo wimbo aliomshirikisha Diamond platnumz ‘Nakupenda’. Mastaa wengine walioshirikishwa ni Banky W, Patoranking, Tekno, Selebobo Olamide, Lil Kesh, Victoria Kimani, Harrysong, […]

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj ataja nyimbo zitakazokuwepo kwenye ‘The Pinkprint’, upo aliomshirikisha Beyonce

Nicki Minaj ameweka wazi orodha ya nyimbo zitakazopatika kwenye album yake ijayo, ‘The Pinkprint’. Kwa mujibu wa orodha hiyo ambayo rapper huyo aliionesha kwenye Instagram jana, album hiyo inayosubiriwa kwa hamu ina nyimbo 19 zikiwemo alizowashirikisha Beyonce Knowles na Ariana Grande. Bey, aliyemshirikisha Minaj kwenye remix ya “Flawless”, atasikika kwenye wimbo wake ‘Feeling Myself’. Grande, […]

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Bob Junior — Bolingo

Rais wa Masharo Baro Bob Junior huu ndo wimbo wake Mpya unaitwa “Bolingo” Producer akiwa ni yeye mwenyewe ngoma imefanyika katika Studio za Sharo baro Records

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bob Junior ajipanga upya

BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani