Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hili ndio jina la wimbo wa Avril aliomshirikisha AY, mtazame akiuongelea (Video)

Muimbaji wa Kenya, Avril alikuja nchini kushoot video ya wimbo mpya aliomshirikisha AY na kumchukua Hanscana kuiongoza. Avril aliiambia Bongo5 kuwa wimbo huo unaitwa ‘No Stress.’ “Nilirekodi kitambo kiasi na AY,” anasema. “Kama unavyojua nilifanya kazi na AY five years ago, aliniweka kwenye Leo remix. So five years later nimemwambia wewe nawe njoo kwenye ngoma […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Bob Junior ataja jina la wimbo aliomshirikisha Diamond

Bob Junior Sharobaro

Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.

Bob Junior Sharobaro

Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.

Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.

“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.

Bob Junior pia amewataka mashabiki wake...

 

9 years ago

Bongo5

Avril kuzindua video ya No Stress aliomshirikisha AY Jumamosi hii Nairobi

12093698_974532162609683_931018265_n

Muimbaji wa Kenya, Avril atafanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ Jumamosi hii jijini Nairobi.

12093698_974532162609683_931018265_n

Uzinduzi wa video hiyo utafanyika Skyluxx Lounge, Westlands jijini humo. Avril amemshirikisha AY kwenye wimbo huo na video imeongozwa na Hanscana.

Pamoja na Avril na AY, wasanii wengine watakaotumbuiza ni King Kaka na Femi One.

“Saturday night for me is about meeting my fans and my industry mates to have a good time.I would like guys to go back home having taken a piece of my...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina

Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mtazame Iyanya akiufurahia na kuuimba wimbo wa Vanessa Mdee ‘Hawajui’

Iyanya ni shabiki mkubwa wa Vanessa Mdee na ndio maana ameamua kupost video hii akiufurahia wimbo wake, Hawajui. Kwenye video hii aliyoiweka Instagram, Iyanya anajaribu kufuatisha maneno ya Kiswahili kwenye wimbo huo japo yanampiga chenga. Tazama video hiyo hapo juu. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ben Pol, Avril na Rossie M wakiongelea wimbo wao ‘Ningefanyaje’

Ben Pol, Avril na Rossie M waliotoa wimbo wa pamoja hivi karibuni walitutembelea kwenye studio zetu kuzungumza kuhusiana na wimbo huo uitwao ‘Ningefanyaje.’ Tazama mahojiano hayo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: King Kaka Ft. Femi One & Avril – Ndio Kusema

CWQi-DVVAAAQMZy

Video mpya ya rapper King Kaka kutoka Kenya amewashirikisha Femi One na Avril wimbo unaitwa “Ndio Kusema”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.

Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up

Ikiwa imebaki wiki moja kabla album yake mpya ‘Unbreakable’ haijatoka rasmi Octoba 2, Janet Jackson ameachia single nyingine – Burn It Up. Katika single hiyo JJ kamshirikisha rapper mkongwe wa kike Missy Elliott. Janet aliwahi kutease wimbo huu alipokuwa akizindua ziara yake hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

9 years ago

Bongo5

Iyanya aachia album yake ya nne ‘Applaudise’ yenye wimbo aliomshirikisha Diamond

Iyanya ni miongoni mwa mastaa wa Nigeria waliotoa ahadi ya kuachia album mpya mwezi September. Ametimiza ahadi yake kwa kuachia album yake ya 4 ‘Applaudise’ yenye jumla ya nyimbo 20. Katika album hiyo pia upo wimbo aliomshirikisha Diamond platnumz ‘Nakupenda’. Mastaa wengine walioshirikishwa ni Banky W, Patoranking, Tekno, Selebobo Olamide, Lil Kesh, Victoria Kimani, Harrysong, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani