Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Avril kuzindua video ya No Stress aliomshirikisha AY Jumamosi hii Nairobi

12093698_974532162609683_931018265_n

Muimbaji wa Kenya, Avril atafanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ Jumamosi hii jijini Nairobi.

12093698_974532162609683_931018265_n

Uzinduzi wa video hiyo utafanyika Skyluxx Lounge, Westlands jijini humo. Avril amemshirikisha AY kwenye wimbo huo na video imeongozwa na Hanscana.

Pamoja na Avril na AY, wasanii wengine watakaotumbuiza ni King Kaka na Femi One.

“Saturday night for me is about meeting my fans and my industry mates to have a good time.I would like guys to go back home having taken a piece of my...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hili ndio jina la wimbo wa Avril aliomshirikisha AY, mtazame akiuongelea (Video)

Muimbaji wa Kenya, Avril alikuja nchini kushoot video ya wimbo mpya aliomshirikisha AY na kumchukua Hanscana kuiongoza. Avril aliiambia Bongo5 kuwa wimbo huo unaitwa ‘No Stress.’ “Nilirekodi kitambo kiasi na AY,” anasema. “Kama unavyojua nilifanya kazi na AY five years ago, aliniweka kwenye Leo remix. So five years later nimemwambia wewe nawe njoo kwenye ngoma […]

 

10 years ago

Bongo5

Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar

Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: AVRIL - NO STRESS ft. AY (Download)


No Stress Avril ft. Ay Free Download MP3 and Video
Avril is a Kenyan songstress who has been doing very well in the music industry east Africa. Some times ago, actually some years back, ay the hip hop star from Tanzania bongo had featured avril in the song Leo remix.This time round, avril Kenya has featured Ay in her song, named No Stress. The track has a 1980’s touch in the beat and its a really dancebal song, if I may say. Willy M. Tuva, the host of east Africa’s greatest show, mambo mseto...

 

9 years ago

MillardAyo

Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video)

Moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa watu wake kujiua Korea nayo ipo… zinatrajwa sababu mbalimnbali za watu kuamua kujiua ikiwemo ishu ya msongo wa mawazo au stress !! Umewahi kupatwa msongo wa mawazo ??!! Ilipokutokea hali hiyo uliamua nini ?? Nakusogezea hii kutoka Korea Kusini ambako unaambiwa wao wameona moja ya mbinu poa za kupunguza […]

The post Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

CloudsFM

Ben Pol kuzindua video ya Sophia Jumapili hii

Mkali wa Bongo Fleva,Ben Pol anatarajia kuzindua video ya ngoma yake ya Sophia Jumapili hii pande za Maisha Club,jijini Dar.Video hiyo imefanyika mkoani Dodoma chini ya producer Khalfan imeshakamilika kwa kiasi kikubwa.
‘’Video itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye big screens na kutakuwa na perfomances kutoka kwa wasanii mbalimbali uwapendao,’’alisema Ben Pol.

 

10 years ago

Bongo5

Adam Mchomvu kuzindua video yake mpya Jumapili hii Club Bilz

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL na Bongo Flava vya Clouds FM ambaye pia ni rapper, Adam Mchomvu atazindua video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Tiririka’ Jumapili hii. Uzinduzi huo utafanyika kama sehemu ya tamasha la ‘Vitu Fulani Amazing’ Club Bilz zamani Billicanas jijini Dar. Mchomvu atasindikizwa na wasanii kibao wakiwemo Joh Makini, Nick wa […]

 

9 years ago

MillardAyo

2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)

Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]

The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina

Rapper anayeiwakilisha Afrika Mashariki, Octoppizo kutoka Kenya ameachia rasmi video ya wimbo wake uliovuja mwaka jana “This Could Be Us”, ambao amemshirikisha mwimbaji wa R&B kutoka Marekani, August Alsina. Habari mbaya kwa mashabiki waliokuwa na hamu ya kumuona August Alsina katika video hii ni kuwa, kwa bahati mbaya mtaisikia sauti yake tu kwasababu hajaonekana katika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani