Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adam Mchomvu kuzindua video yake mpya Jumapili hii Club Bilz

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL na Bongo Flava vya Clouds FM ambaye pia ni rapper, Adam Mchomvu atazindua video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Tiririka’ Jumapili hii. Uzinduzi huo utafanyika kama sehemu ya tamasha la ‘Vitu Fulani Amazing’ Club Bilz zamani Billicanas jijini Dar. Mchomvu atasindikizwa na wasanii kibao wakiwemo Joh Makini, Nick wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Ben Pol kuzindua video ya Sophia Jumapili hii

Mkali wa Bongo Fleva,Ben Pol anatarajia kuzindua video ya ngoma yake ya Sophia Jumapili hii pande za Maisha Club,jijini Dar.Video hiyo imefanyika mkoani Dodoma chini ya producer Khalfan imeshakamilika kwa kiasi kikubwa.
‘’Video itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye big screens na kutakuwa na perfomances kutoka kwa wasanii mbalimbali uwapendao,’’alisema Ben Pol.

 

10 years ago

CloudsFM

ADAM MCHOMVU KUWAVALISHA WEUSI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA THT JUMAMOSI HII,ESCAPE ONE

Nyumba ya Vipaji Tanzania(THT)kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake siku ya Jumamosi wiki hii pande za Escape One,Mikocheni jijini Dar.Siku hiyo ya maadhimisho kutakuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii waliopitia THT pamoja na wasanii wengine wakiwemo Linah Sanga,Amin,Recho,Mwasiti,Barnaba,n.k.Nyumba hiyo ya vipaji imeamua kuachana na kuwatoa wasanii wachanga kwa hiyo hao wanaomaliza ndiyo watakua wa mwisho,badala yake wameanzisha chuo cha ubunifu wa mavazi ambapo wabunifu...

 

10 years ago

Bongo5

Club Bilz: ‘Tulifanya marekebisho ili kuwa club namba moja Afrika’, ifahamu ratiba ya wiki

Club Bilicanas imefanyiwa marekebisho makubwa na kuifanya si tu kuwa na jina jipya ‘Club Bilz’ bali pia club ya kisasa zaidi kuliko zote nchini. Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha burudani wa Club Bilz au Bilz Night Club, Raheem Da Prince, matengenezo hayo yalilenga kuifanya Bilz kuwa club namba moja Afrika. “Investiment ambayo imefanyika […]

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB

 Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha pamoja na Maisha Club za Tanzania, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Miasha Club za Tanzania, Allan Ngugi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club

Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.

  Mratibu...

 

10 years ago

Michuzi

MAKONDA KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB

 Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya 'Maisha Basement' zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.  Mratibu wa...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: ADAM MCHOMVU - A E I O U ft. DOLAFOSALAMITIDO




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani