Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Usher aachia wimbo mpya aliomshirikisha Nicki Minaj na kutengenezwa na Pharrell ‘She Came to Give It to You’

Usher Raymond jana (July 8) ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘She Came to Give It to You’ baada ya ‘Good kisser’. Katika wimbo huo kamshirikisha rapper wa kike Nicki Minaj. Producer wa wimbo huo ni hit maker wa ‘Happy’, Pharrell Williams. Wimbo huu utapatikana katika album ya nane ya Usher inayotarajiwa kutoka mwezi September mwaka […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up

Ikiwa imebaki wiki moja kabla album yake mpya ‘Unbreakable’ haijatoka rasmi Octoba 2, Janet Jackson ameachia single nyingine – Burn It Up. Katika single hiyo JJ kamshirikisha rapper mkongwe wa kike Missy Elliott. Janet aliwahi kutease wimbo huu alipokuwa akizindua ziara yake hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nicki Minaj asema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na Drake wala Lil Wayne kwenye wimbo mpya ‘Only’

Nicki Minaj ameachia rasmi single mpya iitwayo ‘Only’ kama alivyoahidi, ambayo kawashirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne. Hii ni single ya tatu kutoka kwenye album yake mpya itakayotoka Dec.16, ‘The Pink Print’. Katika ‘Only’ Minaj amesema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na wasanii aliowashirikisha yaani Lil Wayne na Drake katika maisha yake. Mwanzoni kabisa mwa wimbo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego

Daynaaa

Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.

Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.

nyangeMsanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj ataja nyimbo zitakazokuwepo kwenye ‘The Pinkprint’, upo aliomshirikisha Beyonce

Nicki Minaj ameweka wazi orodha ya nyimbo zitakazopatika kwenye album yake ijayo, ‘The Pinkprint’. Kwa mujibu wa orodha hiyo ambayo rapper huyo aliionesha kwenye Instagram jana, album hiyo inayosubiriwa kwa hamu ina nyimbo 19 zikiwemo alizowashirikisha Beyonce Knowles na Ariana Grande. Bey, aliyemshirikisha Minaj kwenye remix ya “Flawless”, atasikika kwenye wimbo wake ‘Feeling Myself’. Grande, […]

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ AACHIA ANACONDA

RAPPA, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji kutoka Marekani aliye chini ya lebo ya Young Money Entertainment, Onika Tanya Maraj 'Nicki Minaj' leo ameachia rasmi video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Anaconda’  baada ya kuufanyia promo ya kutosha katika mitandao mbalimbali.

 

9 years ago

Bongo5

Jay Z, Beyonce, Nicki Minaj, Usher na mastaa wengine kutumbuiza kwenye show ya charity ya Tidal

Baada ya mtandao wa Tidal kufikisha zaidi ya watumiaji milioni moja, Jay Z aliahidi kusheherekea na sasa ametangaza shangwe hizo zitakuwa lini na wapi. Jay ametangaza show za charity za TIDAL X: 1020 ambapo kwa mara ya kwanza itafanyika Oct. 20 kwenye uwanja/ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn. Pamoja na Jay Z mwenyewe, mastaa wengine watakaotumbuiza […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Ne-Yo aachia wimbo mpya ‘Make It Easy’

Muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kwa jina la Ne-Yo, ametoa wimbo mwingine kutoka kwenye album yake ijayo “Non-Fiction”. Wimbo mpya uliotoka Jan.7 unaitwa “Make It Easy”. “Non-Fiction” ni album ya sita ya muimbaji huyo ambayo mwanzo ilipangwa kutoka 2014, lakini sasa inatarajiwa kutoka Jan.27.

 

11 years ago

Bongo5

New Music Video: Chris Brown aachia video mpya ya ‘New Flame’ Feat. Usher & Rick Ross

Baada ya kutangaza tarehe mpya (Sept 16) ya kutoka kwa album yake ya ‘X’ ambayo iliahirishwa kwa zaidi ya mwaka, Chris Brow ameachia video mpya ya wimbo wake ‘New Flame’ ambao amewashirikisha Usher na Rick Ross. Itazame

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani