New Music: Ne-Yo aachia wimbo mpya ‘Make It Easy’
Muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kwa jina la Ne-Yo, ametoa wimbo mwingine kutoka kwenye album yake ijayo “Non-Fiction”. Wimbo mpya uliotoka Jan.7 unaitwa “Make It Easy”. “Non-Fiction” ni album ya sita ya muimbaji huyo ambayo mwanzo ilipangwa kutoka 2014, lakini sasa inatarajiwa kutoka Jan.27.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Jan
New Music: Rihanna aachia wimbo mpya ‘Four Five Seconds’ Ft. Kanye West na Paul McCartney
9 years ago
Bongo525 Sep
New Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya aliomshirikisha Missy Elliott — Burn It Up
9 years ago
Bongo514 Nov
Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake
![K.O](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/K.O-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.
K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.
Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.
Ding Dong | tayotv Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
11 years ago
Bongo509 Jul
New Music: Usher aachia wimbo mpya aliomshirikisha Nicki Minaj na kutengenezwa na Pharrell ‘She Came to Give It to You’
9 years ago
Bongo504 Sep
Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya unaobeba album yake ijayo ‘Unbreakable’
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2INg8dkzR4w/default.jpg)
boniface aachia wimbo na video mpya - nikitaka
Kwa mara nyingine tena Yule msanii machachari ambaye anainukia kwa kasi katika muziki wa bongofleva Boniface( a.k.a handsome boy a.k.a asali ya Morogoro a.k.a bon-to-face) kwa mara nyingine tena ameachia wimbo na video yake mpya iitwayo “Nikitaka”.
Audio ya wimbo huo umefanyika katika studio za Authentic Record jijini Dar es salaam chini ya Producer mwenye kiwango za hali ya juu Mr. Allan Mapigo,
Video ya wimbo huu imefanywa kampuni mpya kabisa shine studioz, ni moja ya kazi safi...
9 years ago
Bongo527 Aug
Audio: Nuru The Light aachia wimbo mpya uitwao ‘L’
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rmfWbRXy4r4/default.jpg)
Nuru the Light aachia video ya wimbo wake mpya ‘L’
Muimbaji wa Tanzania mwenye makazi yake nchini Sweden, Nuru The Light ameachia video ya wimbo wake mpya ‘L’. Nuru alifanya uzinduzi rasmi wa video hiyo Jumamosi hii kwenye kiota kipya cha starehe, Jozi Lounge kilichopo Msasani jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi huo ulihudhuriwa na mastaa, marafiki zake wa karibu na mashabiki.
Video ya wimbo huo imefanyika jijini Dar es Salaam na kuongozwa na muongozaji na mshindi wa tuzo kibao, Adam Juma aka AJ. Mandhari ya kuvutia ya fukwe za bahari ya Hindi...
9 years ago
Bongo502 Dec
Video: Mshindi wa Maisha Superstar, PHY aachia wimbo mpya ‘Ruka’
![Phy2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Phy2-300x194.jpg)
Mshindi wa shindano la Maisha Superstar 2015, PHY kutoka Kenya ameachia wimbo wake mpya ‘Ruka’ (video na audio) aliowashirikisha King Kaka & Khaligraph Jones. King Kaka ndiye aliyekuwa ‘mentor’ wake kwenye shindano hilo. Mwezi uliopita PHY ambaye jina lake halisi ni Phyllis Mwihaki Ng’etich pia alizindua album yake mpya ‘Phylosophy’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia...