Octopizzo hakudanganya tu kumshirikisha August Alsina, upo ushahidi hata wimbo ‘This Could Be Us’ ameuiba!
Rapper wa Kenya Octopizzo anazidi kuumbuka kutokana na wimbo wake wa ‘This Could Be us’ ambao hapo awali alidai kuwa amemshirikisha staa wa Marekani, August Alsina. Baada ya uongozi wa August kukanusha msanii wao hakushirikishwa kwenye wimbo huo, lilibaki fumbo la ile sauti kwenye ya kiitikio ni ya nani kama si muimbaji huyo wa Marekani, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Sep
Update: Octopizzo azungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kudanganya kumshirikisha August Alsina, sikiliza alichojibu (Audio)
9 years ago
Bongo525 Aug
Video: Octopizzo aachia video ya wimbo aliomshirikisha staa wa Marekani, August Alsina
9 years ago
Bongo528 Aug
Music: August Alsina Ft. Lil Wayne — Why I Do It
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: August Alsina – Song Cry
![august-song-cry2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/august-song-cry2-300x194.jpg)
Mwanamuziki wa R&B August Alsina ametoa video mpya ya wimbo “Song Cry” kutoka kwenye albamu yake ya pili “This Thing Called Life” iliyozinduliwa Desemba 11 mwaka huu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo529 Oct
Music: August Alsina — Song Cry
9 years ago
Bongo503 Sep
Music: Rick Ross Ft. August Alsina — She Wanna F**k
9 years ago
Bongo505 Dec
Music: August Alsina Feat. Chris Brown – Been Around the World
![aa-cb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/aa-cb-300x194.jpg)
In just one week, August Alsina will release his sophomore album This Thing Called Life. The album is now available for pre-order on iTunes with two new songs including “Dreamer” and “Been Around the World” featuring Chris Brown.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo511 Nov
Barnaba hajatoa hata senti kumshirikisha Jose Chameleone
![chameleone and Barnaba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/chameleone-and-Barnaba-300x194.jpg)
Tumekuwa tukisikia juu ya ugumu wa wasanii wakubwa kukubali kufanya collabo na wasanii ambao wako chini yao, hususani collabo zinazokuwa zinahusisha wasanii kutoka nchi tofauti, na wengine hutoza pesa nyingi kama malipo ya kushiriki kwenye collabo hizo.
Baada ya wimbo mpya wa Barnaba ‘Nakutunza’ aliomshirikisha Jose Chameleone kutoka Jumatatu wiki hii, amezungumzia jinsi Chameleone alivyojitolea kumsaidia bila kumtoza chochote.
“Sijamlipa hata mia moja, hakuna gharama kubwa ambayo Jose...