Mbu kupambana na homa ya Dengue
Watafiti nchini Brazil, wameachilia maelfu ya Mbu wenye viini vya Bakteria ili kupambana na homa ya Dengue ambayo ni kero nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii14 May
Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu
10 years ago
Habarileo11 Mar
Malecela ataja chanzo mbu anayeleta dengue
ASILIMIA kubwa ya mazalio ya mbu Aedes aliyeambukiza virusi vya Dengue katika jiji la Dar es Salaam mwaka jana, huzaliwa kwenye vyombo vya plastiki na matairi ya magari, utafiti umebaini.
11 years ago
Habarileo20 May
Sampuli 60 zachunguzwa homa ya dengue
UKOSEFU wa vifaa tiba katika hospitali za wilaya mkoani Lindi, umesababisha watu 60 kuchukuliwa sampuli zao kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi kubaini ugonjwa wa dengue kwenye maabara mkoani Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi15 May
WHO yajitosa dhidi homa ya dengue
11 years ago
GPL
HOMA YA DENGUE YATINGISHA BUNGE
11 years ago
GPL14 May
GONJWA HATARI LA HOMA YA DENGUE
11 years ago
Habarileo13 May
Homa ya dengue kila kona
WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.
11 years ago
GPL
FAHAMU KUHUSU HOMA YA DENGUE