Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbu kupambana na homa ya Dengue

Watafiti nchini Brazil, wameachilia maelfu ya Mbu wenye viini vya Bakteria ili kupambana na homa ya Dengue ambayo ni kero nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Janga la ugonjwa wa dengue unaosababishwa na mbu

Wananchi wameaswa kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa dengue ambao dalili zake ziko sawa na zile za malaria. Mpaka sasa ugonjwa huo hauna tiba maalumu wala chanjo na njia pekee ya kukabiliana nao ni kutambua dalili zake kama vile homa, kupungukiwa maji au damu, kuumwa kichwa, maumivu ya viungo na uchovu. Mgonjwa anaweza kupoteza maisha endapo atachelewa kupatiwa matibabu. Mkuu wa Idara ya Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja alithibitisha kuwapo kwa ugonjwa huo...

 

10 years ago

Habarileo

Malecela ataja chanzo mbu anayeleta dengue

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele MalecelaASILIMIA kubwa ya mazalio ya mbu Aedes aliyeambukiza virusi vya Dengue katika jiji la Dar es Salaam mwaka jana, huzaliwa kwenye vyombo vya plastiki na matairi ya magari, utafiti umebaini.

 

11 years ago

Habarileo

Sampuli 60 zachunguzwa homa ya dengue

UKOSEFU wa vifaa tiba katika hospitali za wilaya mkoani Lindi, umesababisha watu 60 kuchukuliwa sampuli zao kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi kubaini ugonjwa wa dengue kwenye maabara mkoani Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

WHO yajitosa dhidi homa ya dengue

Shirika la Afya Duniani (WHO), limejiunga katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa ya dengue kwa kuagiza vipimo 1,000 kwa ajili ya upimaji nchi nzima.

 

11 years ago

GPL

HOMA YA DENGUE YATINGISHA BUNGE

Stori na Ojuku Abraham SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amemtaka Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kebwe Stephen Kebwe kutoa kauli ya serikali juu ya ugonjwa wa Dengu, ambao umetikisa nchi kwa sasa. Naibu Waziri Kebwe amesimama na kusema kuanzia ugonjwa huu ulipobainika Januari hadi Mei mwaka huu, jumla ya wagonjwa 458 wameripotiwa na watatu kati yao wamepoteza maisha. Alisema katika jiji la Dar es Salaam, jumla ya wagonjwa 60 wamelazwa hadi...

 

11 years ago

GPL

GONJWA HATARI LA HOMA YA DENGUE

GLOBAL TV ONLINE inakuletea kipindi maaalum kinachoelezea kwa undani gonjwa hatari linalotikisa nchi kwa sasa la Homa ya Dengue.

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya dengue kila kona

WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.

 

11 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU HOMA YA DENGUE

Homa ya Dengue ni ugonjwa unaoenezwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virus vya ugonjwa huu. Mbu hupata virusi vya homa ya Dengue anapomuuma mtu mwenye ugonjwa huu. Ugonjwa huu unaenezwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kuumwa na mbu huyu. DALILI: Homa kali ya ghafla Kuumwa kichwa hususani sehemu za machoni…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani