WHO yajitosa dhidi homa ya dengue
Shirika la Afya Duniani (WHO), limejiunga katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa ya dengue kwa kuagiza vipimo 1,000 kwa ajili ya upimaji nchi nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 May
Homa ya Dengue yatikisa Dar
11 years ago
GPL14 May
GONJWA HATARI LA HOMA YA DENGUE
11 years ago
Habarileo13 May
Homa ya dengue kila kona
WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.
11 years ago
Habarileo19 May
Homa ya dengue yaibua tafrani
TAARIFA isiyo sahihi ya maambukizi ya homa ya dengue inayoenezwa na mbu aina ya aedes, imesababisha baadhi ya madereva teksi jijini Dar es Salaam, kujilinda kwa kuvaa glovu za mikononi, soksi ndefu miguuni na kujifungia muda wote katika magari yao hata ambayo hayana viyoyozi.
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Mbu kupambana na homa ya Dengue
11 years ago
Mwananchi10 May
Vipimo homa ya dengue vyaadimika
11 years ago
Habarileo20 May
Sampuli 60 zachunguzwa homa ya dengue
UKOSEFU wa vifaa tiba katika hospitali za wilaya mkoani Lindi, umesababisha watu 60 kuchukuliwa sampuli zao kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi kubaini ugonjwa wa dengue kwenye maabara mkoani Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yJuWtag02UJ188yaaFa26pVG08uUrjsZpJkBNPxSTD2b4cKsVZCLPpjznpPDZZuCDaEPrK2bFzRVTtdn-jwRffV/BungelaTanzania.jpg?width=650)
HOMA YA DENGUE YATINGISHA BUNGE