Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya
Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford wanasema kuwa jaribio la Chanjo dhidi ya ugonjwa wa Malaria imeonesha asilimia kubwa ya mafanikio
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Chanjo ya Ebola yaonesha matumaini
10 years ago
MichuziMapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Chanjo ya Malaria yatia matumaini
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto
11 years ago
Mwananchi30 May
Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S
GSK leo Julai 24-2014 imetangaza imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya Ulaya ya Madawa Agency (EMA).
Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa viwandani vya nchi za Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje ya EU....
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Chanjo mpya ya HIV yatoa mafanikio
11 years ago
Mwananchi31 May
Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.
Hayo yamesemwa...