Mapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema kuwa hatua za Serikali za kupambana na ujangili nchini zimeonesha mafanikio makubwa. Akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Kazi za Kamati, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe James Lembeli (pichani) alisema kuwa pamoja na mafanikio mengine hatua hiyo imefanikiwa kukamata silaha 2000. Alisema hadi kufikia mwaka 2013, hali ya ujangili wa tembo ilikadiriwa kufikia tembo 30 kwa siku, lakini Serikali ilichukua hatua ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Mar
WAJERUMANI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![DSC_0080](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0080.jpg)
Na Damas Makangale
HUKU Tembo wakiendelea kuuawa katika mbuga kadhaa nchini, Serikali ya Ujerumani imeahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika kupambana tatizo la ujangili...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HEPVcnzulcI/VNvb2yVYhjI/AAAAAAAAtBU/xkOJLeuNt_Q/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3rM2qRwREE/VNvb5hOgu9I/AAAAAAAAtBo/ZbdPc1IQEHo/s640/kubwa.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s72-c/hc1.jpg)
Serikali yapokea msaada wa Helkopta kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ujangili
![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s1600/hc1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHwljsc8yWs/U53JJc_iPPI/AAAAAAACjb0/HKfhhYB-LUQ/s1600/hc3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Tathmini ya Programu ya IFAD nchini Tanzania yaonyesha mafanikio makubwa
Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Bw. Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuonyesha mafanikio ya programu ya IFAD nchini Tanzania, warsha...
10 years ago
GPLTATHMINI YA PROGRAMU YA IFAD NCHINI TANZANIA YAONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
TBL yapata tuzo ya mapambano dhidi ya Malaria nchini
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled62.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid (kulia) akimkabidhi Meneja Vipaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lillian Makau cheti cha shukurani cha kutambua ushiriki wa kampuni hiyo katika mapambano dhidi ya Malaria nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Balozi wa Malaria Tanzania, Leodegar Tenga.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bq_YaTuZ4JA/U14hEFPbQaI/AAAAAAAAo6c/sjBZEE3bK68/s1600/IMG_6823.jpg)
Katibu wa Afya wa TBL (katikati), akitoa maelezo jinsi kampuni yake ilivyojidhatiti kutoa elimu na tiba ya...
10 years ago
BBCSwahili08 May
Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qAiZ7m88eWA/U14hAYz3SmI/AAAAAAAAo6M/7GKeRCpRJE8/s1600/01.jpg)
TBL YAPATA TUZO YA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA NCHINI