VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akizungumza katika mkutano wake na viongozi wa dini mbalimbali uliofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree mjini Dar es Salaam, leo. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa dini mbalimbali masuala mbalimbali kuhusiana na madhara ya ujangili wa wanyama kama tembo na faru yalijadiliwa.
Viongozi wa dini mbalimbali wakimsikiliza Nyalandu
Waziri Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini mbalimbali baada ya mkutano huo....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VNMpxXKGWKc/XlPaFTgvXII/AAAAAAALfG0/5JhQM0jzSN8Sd92NxuCrWc4JyDDjiTCiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.44.23%2BPM.jpeg)
SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Viongozi wa dini wajitosa mgogoro wa wafanyabiashara, TRA
11 years ago
Michuzi27 Mar
WAJERUMANI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![DSC_0080](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0080.jpg)
Na Damas Makangale
HUKU Tembo wakiendelea kuuawa katika mbuga kadhaa nchini, Serikali ya Ujerumani imeahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika kupambana tatizo la ujangili...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Mapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s72-c/hc1.jpg)
Serikali yapokea msaada wa Helkopta kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ujangili
![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s1600/hc1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHwljsc8yWs/U53JJc_iPPI/AAAAAAACjb0/HKfhhYB-LUQ/s1600/hc3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Serikali, viongozi wa dini kupiga vita ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imekutana na viongozi wa dini nchini kwa lengo la kupaza sauti ya pamoja katika vita dhidi ya ujangili na uhifadhi wa wanyamapori na biashara ya...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nyalandu-jan23-2014.jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...
10 years ago
StarTV27 Feb
Ukatili dhidi ya wenye Albinism, viongozi wa dini walaani.
Na Wilson Elisha,
Mwanza.
Viongozi wa kamati ya amani ya dini ya Mkoa wa Mwanza wamesema vitendo cha ukatili vinavyoendelea nchini dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino vya kuwaua kwa kuwakata mapanga kuwa ni laana kwa wanaofanya hivyo na havikubaliki katika jamii.
Kutokana na hali hiyo viongozi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wale wote wanaohusika wanachukuliwa hatua za kisheria ili haki iweze kutendeka wakati huu ambao wameandaa kongamano la wazi la...